Suleman Jr
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 341
- 525
Huu ujinga nishawahi kuufanya mara 2 nikiwa na gx100 chaser mwaka 2011 sijawahi rudia tena, naishiaga speed 160.Mzuka wa kumaliza kisahani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ujinga nishawahi kuufanya mara 2 nikiwa na gx100 chaser mwaka 2011 sijawahi rudia tena, naishiaga speed 160.Mzuka wa kumaliza kisahani
Brevis ni stable kuliko crown Mzee. Achaa ubishi. Ajali za brevis ni chache kuliko za crownHahah, hizi zinasumaku kwenye tyres..
Tutazika zaidi maana vijana wengi wanapenda sifa za kijingaMzuka wa kumaliza kisahani
Mtani hauna adabuMkongwe wewe.. Kweli kondom zimesaidia wengi [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mbona na mimi ndicho nilichokuwa nasemaBrevis ni stable kuliko crown Mzee. Achaa ubishi. Ajali za brevis ni chache kuliko za crown
Hiyo inaweza kuwa sababu ndogo.. ila ukweli ni kwamba Brevis nyingi zinamilikiwa na Wanaume wa makamo ambao wanajua umuhim wa kuishi na familia... Crown nyingi zinamilikiwa na Wanaume vijana, wao maisha wanadhani ni Show-Off wanaishia kufia barabarani...Brevis ni stable kuliko crown Mzee. Achaa ubishi. Ajali za brevis ni chache kuliko za crown
Sababu kubwa inayofanya ajali za Brevis ziwe chache kuliko crown ni..Brevis ni stable kuliko crown Mzee. Achaa ubishi. Ajali za brevis ni chache kuliko za crown
Watu wanasema nyang'anyang'a huyo hata kuangalia sura ya mwisho haiwezekaniKama HUYU.... [emoji24][emoji24][emoji24]View attachment 1106035View attachment 1106036
Inakera sana.Ndio kilichotokea Msata kwenye ajali ya wana Yanga
Yesu wangu na mariaNitafutie mbili mtani lakini usinilangue [emoji23]
habari kaka, tafadhari naomba experience ya V40, nafikiria kuichukua pia naona wewe umekuwa nayo mda sasa. Ulikuwa na ya option ipi, petrol or diesel NA cc ngapi? pia nihighlight juu ya durability/ reliability, changamoto zake, consumption na availability ya spare parts.Kumbe sikukosea kununua hii gari V40 speed 260
Gari tunazonunua hapa zina karibu miaka ishirini. Kuna maboresho mengi ya usalama yameisha fanyika na yanaendelea kufanyika hasa katika bodi ili liweze kuhimili dharuba za ajali kupunguza madhara kwa abiria ( vehicle body design for safe impact energy absorbtion during accident )Si kwamba nazikandia hizi gari za kijapan la hasha. Nimewahi kuzimiliki Chaser mayai na balloon GX90. Kila moja imevuma kwa nyakati zake. Zikisifika kwa wepesi mwendo (kuchanganya haraka) kiyoyozi kama Greece land. Zimepita model nyingi.
Tunamalizia enzi za Harrier TAKO LA NYANI zimechuja haraka baada ya nyingi kupiga chini.
TOYOTA crown bado iko juu lakini nayo inaendelea kuchinja watu. Simlaumu mjapani katengeneza kwa matumizi yake na taratibu zake. Huku hatuzingatii hili kabisa
Mwisho tunaishia kulaumu na kusema TOYOTA hizi....!!!
lakini pamoja na Toyota nyingi kuwa na viwango vidogo vya usalama kulinganisha na gari za ulaya bado tatizo ni letu sisi wenyewe.....!
ELIMU JUU YA VYOMBO VYA MOTO hasa gari nyepesi za kijapani ni finyu mno...! tumepoteza damu changa nyingine Kabuku. Damu ya Rchunga... Rip [emoji1019] View attachment 1105974View attachment 1105975View attachment 1105976