Nangu Nyau
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 5,015
- 14,139
wakiona mnaagiza magari yanayotumia wese kidogo nao watapandisha bei ya mafuta ili kurudi kulekule.
Mkiagiza magari ya umeme watapiga marufuku na kusema ni hatari kwa mazingira ya Tanzania au hata kuwaambia yanachafua mazingira, bora Petrol na Diesel.
Mkiagiza magari ya umeme watapiga marufuku na kusema ni hatari kwa mazingira ya Tanzania au hata kuwaambia yanachafua mazingira, bora Petrol na Diesel.