Toyota IST imeniangusha sana

Wiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho!

Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Kwenda kahama ukitokea wapi tinde au,,, hivi mnaonaga wote tunakaa dar?
 
Ukiskia matembo wanakaaga basi ni kwa huyo mnyama, gari ya kitambo ila inanyanyasa mpaka wakina lamborghini hapo road.Nilishaona clip moja GT-R inaivimbia Buggati japo kwa sekunde kadhaa. Hii gari inakat a upepo mzee ni hatari.
Huyu mnyama huwa namsikia sikia..hebu nifunue akili kidogo.juu yake mkuu
 
Mbona kama iko chini sana, kwa barabara zetu zenye mashimo na matuta itatoboa kweli?
Hio gari inakata upepo ingekuwa na mabawa ingepaa kabisa.😂😂😂 ndo maana imewekwa chini ili isije ikapaa. Sprint ya 0-60 in 3.5 secs sio kitoto.
 
Gtr ni mnyama sana , ila sizani kama mazingira ya Tz inatoboa .Gari ambayo alitumia Paul Walker ktk Fast Five pale mwisho anakimbizana na Vin Diesel wakati wanaenda kumuangalia wife wake baada ya kijifungua
Ukiskia matembo wanakaaga basi ni kwa huyo mnyama, gari ya kitambo ila inanyanyasa mpaka wakina lamborghini hapo road.Nilishaona clip moja GT-R inaivimbia Buggati japo kwa sekunde kadhaa. Hii gari inakat a upepo mzee ni hatari.
 
Wiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho!

Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Ungeitia gunia tano za Mkaa ungeipenda
 
Gtr ni mnyama sana , ila sizani kama mazingira ya Tz inatoboa .Gari ambayo alitumia Paul Walker ktk Fast Five pale mwisho anakimbizana na Vin Diesel wakati wanaenda kumuangalia wife wake baada ya kijifungua
GT-R nimeshaiona msasani bro.

Nikaja kukutana nayo tena pale Level 8.
 
Gtr ni mnyama sana , ila sizani kama mazingira ya Tz inatoboa .Gari ambayo alitumia Paul Walker ktk Fast Five pale mwisho anakimbizana na Vin Diesel wakati wanaenda kumuangalia wife wake baada ya kijifungua
Unaulizia kutoboa kwenye JDM?
 
Wiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho!

Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Sasa wajilaumu nini. IST nyingi zina CC 1298 au 1296 tuseme 1300 na baadhi zina CC 1496 au 1498 tuseme 1500. Katika Engine Power au Engine Pulling ya Gari CC huwa ni kigezo kikuu. Unaposhindana na gari yenye CC kubwa zaidi ya hapo, uwezekano wa kuachwa unakuwa mkubwa sana.

Japo speeding ya Gari hutegemea pia, Ubora wa Gari, Umahili wa Driver, Ufungaji wa Tyre zinazoendana na Gari, ubora wa Transmission fluid, Engine Oil, Air Filter na Wheel alignment, ubora wa barabara n.k.

Ukitaka Speed ya juu zingatia yote hapo juu.

LAKINI KUMBUKA MWENDO KASI ULIOPITA VIWANGO UNAUA.
 
Demu ndani ya Subaru katoa mlio kama vile anawekewa dyudyu..[emoji28][emoji28]

Aliamini subaru ya boy wake ndiyo mwisho wa yote..
Hahah aisee hio mambo ilivyochomoka ghafla demu kapiga kulia lia tu huku subaru ya mwana imebaki inapiga chafya tu,hahahah.
 
Wiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho!

Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Hahaha IST ni gari ya kutembelea mjini tu sio lwa ajili ya safari...usione watu wananunua Brevis, Crown, Altezza, Subaru nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…