Hizo Evo/sti hazibadilishwi engine,engine zinakua tu moded/tuned i.e Fuel Rail Upgrade,Turbocharger Upgrade,Camshaft upgrade,Intake Manifold Upgrade,Fuel Pump Upgrade,Remap factory ECU etcGari inapotoka kiwandani, inakuwa na engine ya kiwandani. Lakini engine nyingine inaweza kuwekwa katika gari hiyo on the streets. Cha muhimu ni engine itoshe katika engine compartment, and in many cases compartments can handlr bigger engines. Kwa hio gari yenye 2000cc (4 cylinders) inaweza kuwekewa engine ya 3000cc (6 cylinders) au zaidi. In that case, itakuwa na power zaidi.
Hizo upgrades tayari zinaunda a more powerful version of the original. Ukilinganisha na factory model. Hapa kuna video ya V8 imewekwa kwa EVOHizo Evo/sti hazibadilishwi engine,engine zinakua tu moded/tuned i.e Fuel Rail Upgrade,Turbocharger Upgrade,Camshaft upgrade,Intake Manifold Upgrade,Fuel Pump Upgrade,Remap factory ECU etc
Sasa hapa tunaongelea vitu viwili tofauti Engine Swapping vs Engine tuning.Hizo upgrades tayari zinaunda a more powerful version of the original. Ukilinganisha na factory model. Hapa kuna video ya V8 imewekwa kw EVO
Sawa kabisa. I can see uko very knowledgeable kwenye vehicle mechanics. Good job kaka. Keep up kazi nzuri ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Knowledge is everythingSasa hapa tunaongelea vitu viwili tofauti Engine Swapping vs Engine tuning.
Tuko pamoja bro,knowledge is the power mkuu.Sawa kabisa. I can see uko very knowledgeable kwenye vehicle mechanics. Good job kaka. Keep up kazi nzuri ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Knowledge is everything
Patamu sana hapo usiku, mchana ukipita unaona pa kiboya ila night ni shida kwakweliEbu njoo hapa club chiller ili nikupe pole na michongo ya hapa Kahama town..
Hivi ile issue yako ya nyumba ulionunua kumbe alikuizia alikuwa amekopa bank imeishaje?Wiki iliyopita niliamsha IST yangu kwenda Kahama, safari ilikuwa tamu, japo nimeumia sana kuona napitwa njiani kama vile nimesimama, japokuwa nilikuwa nakanyaga mafuta mpaka mwisho!
Nimeumia sana! Siitumii tena nimeapa
Nilifikiri ni kwangu peke yangu....JF sijui hata ina shida gani mzee baba,video/attachments kwangu siku hizi hazifunguki.
Maxence Melo tunaomba msaada wa tatizo hilo common la attachments kutofunguka.
Sikuwa na namna nyingine zaidi ya kulipa deni lile mkuu, ilikuwa imebaki 6M! So benki wakataka kusukuma nyumba kwa bei hiyo nikasema aah wapi!Hivi ile issue yako ya nyumba ulionunua kumbe alikuizia alikuwa amekopa bank imeishaje?
Wanaume huwa mnapendana sana yaan[emoji122][emoji122]Sawa kabisa. I can see uko very knowledgeable kwenye vehicle mechanics. Good job kaka. Keep up kazi nzuri ya kujifunza na kuongeza ujuzi. Knowledge is everything
Treat people like you want to be treated. Kama mtu anafanya mjadala mzuri na wa kuheshimiana kwa nini usimpende na kumheshimu? Kama unaongelea yule mdada wa juzi, nilijitahidi sana kumheshimu ila akashindwa kujiheshimu na kuthamini heshima mtu unampa. Watu kama hao, sio me au ke, wanastahili moto tena wa Nuclear kabisa.Wanaume huwa mnapendana sana yaan[emoji122][emoji122]
Cheki ulivyomsifia mwanaume mwenzako bila nyongo wala nini[emoji15]
Huku kwetu asubutuuuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] ungesikia " hili nalo kujifanya linajuuua[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] " na msonyo juu " mxiuuuuu
Heko kwako[emoji122]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]umenena vyema...Wanaume huwa mnapendana sana yaan[emoji122][emoji122]
Cheki ulivyomsifia mwanaume mwenzako bila nyongo wala nini[emoji15]
Huku kwetu asubutuuuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16] ungesikia " hili nalo kujifanya linajuuua[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57] " na msonyo juu " mxiuuuuu
Heko kwako[emoji122]
Hivi hii ni kwanini mkuu?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]umenena vyema...
Tatizo la huo upande wenu, mwenye tako anamdharau asiye na tako, asiye na tako anamchukia mwenye tako, aliyeolewa anamdharau mdangaji, mdangaji anamchukia aliyeolewa..
Ambao hawatoki na boss wanamchukia anayetoka na boss, anayetoka na boss anawadharau wasiotoka na boss..
Mweny iPhone anamdharau mwenye Tecno, mwenye tecno anamchukia mwenye iPhone..[emoji1][emoji1]
yaani ilimradi tu kuchukiana...
Ukikuta mwanaume mwenye chuki chuki za namna hiyo, lazima anamatatizo kwenye mfumo wake wa hormones..[emoji28][emoji28]
Hivi hii ni kwanini mkuu?
Wewe ulikuwa na IST ya 1NZ yenye cc1290.....ungepata ist ya 2NZ yenye cc1480 uone mziki wake.
Mkuu hebu angalia tena specifications za 1NZ na 2NZ. Naona umeandika kinyume chake.Wewe ulikuwa na IST ya 1NZ yenye cc1290.....ungepata ist ya 2NZ yenye cc1480 uone mziki wake.
nilikuwa na subaru forester toka Tanga to Dar nilipitwa na V8 tu kuna mahali nilismama nunua mafenesi IST akanipita haikuzidi dakika 1o nikamrudisha kwenye position yake. isingekuwa kutikisika usukani V* naye alikuwa kwenye range yangu kabisa.
Unataka ligi na huku hutaki KUSAJILI[emoji12][emoji12][emoji16]Nimefika salama, lakini ligi za barabarani zimenishinda kabisa