Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Magari ya kiboya sana hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kariakoo to Tegeta Kwa gari yenye CC 3000 ya kazi gani? Au speed 260 haina tija SanaHonestly am addictive on driving bigger car!
Gari ikiwa chini ya engine capacity 2000 huwa sifikirii Kununua, zinakuwa nyepesi sana!
Pia gari ikiwa na chini ya speed 260km/h hiyo huwa Sitaki hata kuiskia, otherwise niendeshe ya mtu ila sio yangu!
Toyota wataacha kutengeneza gari model V8 kufikia 2021. Sababu kubwa ni ukubwa wa engine na uchafuzi wa mazingira especially diesel emissions.
Hii huenda ikawa taarifa mbaya kwa viongozi na wasiasa wengi ambao ni wapenzi wakubwa wq hizi gari
The iconic Toyota LandCruiser V8 is nearing the end of the road, with well-placed sources claiming the next generation 300 Series will have a choice of V6 turbo-diesel and V6 turbo petrol power when it goes on sale in late 2021 – before eventually being joined by a V6 hybrid a few years later.
Toyota says it's too early to discuss technical details of what will be the first completely new LandCruiser in 14 years, however CarAdvice understands the current 4.5-litre V8 turbo-diesel and 4.6-litre V8 petrol will be phased out due to tougher global emissions standards.
There is a slim chance the V8 could win a stay of execution given Australia's emissions standards are a decade behind Europe's, however it's unlikely Toyota would invest extra engineering resources into an old engine with a limited lifespan.
source please!!!
![]()
Toyota Is Canceling The Land Cruiser In 2022 And It's About Time
It’s no secret the current generation Toyota Land Cruiser, which has been in production since 2007 and only received a mild refresh in 2016, is an outdated piece of machinery. At $85,000, it’s arguably overpriced as well.www.forbes.com
Wanasiasa watahamia hata Nissan Patrol au BMW X7&X8
source please!!!
Polen mnoo yaani
Watengenezaji sidhani kama wanajua "uniqueness" ya sauti ya engine zilivyo na ushawishi kwa wateja kununua!Nissani wamepoteza sana "peculiarity" kwa upande muungurumo,Leyland,LL,na wengine wengi....kwa LC wamejitahidi kumaintain
Hahahahaha mwana kwetu upo@BonnyAsante sana Mdogo wangu
Kuna jirani yangu alikuwa na Nissan patrol mwaka mmoja hivi uliopita, Aisee lile gari lilikuwa linanguruma vizuri mpaka mb*oo inadinda [emoji15][emoji15][emoji15].....mlio wa kibabe injini invyoitikia gia..[emoji31][emoji31]Nissan Patrol ya sasa hovyo kabisa!
Muungurumo kama power tiller!
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23]
Mnguromo. Mbaya bora iwe silent kama vx v8Nissan Patrol wao walipunguza size ya Engine kutoka 4.8L kwenda Nissan Patrol TI Y61 3.0L Turbo kwa diesel. Wali-maintain injini kubwa za 5.6 Litre na cylinder 8 kwa hizi mpya Nissan Patrol TI Y62 Series ambazo hadi sasa wanatoa za petrol tu. Ila sasa kwa mtu wa kawaida, huziwezi, maana zinakula mafuta hadi unalia! Wanaonunua ni watu wenye pesa ambao haoni taabu kujaza full tank kwa Tshs 300,000!
Kinachoudhi ni kwamba muungurumo wa Nissan Patrol Turbo 3.0L Diesel umekuwa kama trekta, sio kile kinanda cha Nissan Patrol za 4.8L za zamani ambazo tulikuwa tunavuta gia kila mtu anajua unapita na Nissan Patrol!
Hahah sijui kwanini tu nilivyoona nissan patrol inalalamikiwa nikajua tu lazima ntakuona pande hizi.Kuna jirani yangu alikuwa na Nissan patrol mwaka mmoja hivi uliopita, Aisee lile gari lilikuwa linanguruma vizuri mpaka mb*oo inadinda [emoji15][emoji15][emoji15].....mlio wa kibabe injini invyoitikia gia..[emoji31][emoji31]
Yule fala si kauza lile gari.....kanunua vx flani hivi ingefanana na vx amazon...inaungurua kama Canter..[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Lakini hata Coaster box body zile EX..old model....achana na hizi coaster mayai..
Ukiikuta ina injini yake haijachokonolewa ..ile mashine inaunguruma vizuri.....Matoleo maoya kwa upande wa muungurumo wa injini yamepoteza raha kabisa
Nipo sana ndugu yangu sjakuona humu muda mrefu sanaaaHahahahaha mwana kwetu upo@Bonny
All. In all mngurumo wa Land cruiser Series 80 unanikosha sana
Nipo mbona tunapishana itakuwaNipo sana ndugu yangu sjakuona humu muda mrefu sanaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nissan ni gari nzuri sana ukizipatia huduma stahiki...Hahah sijui kwanini tu nilivyoona nissan patrol inalalamikiwa nikajua tu lazima ntakuona pande hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nissan ni gari nzuri sana ukizipatia huduma stahiki...
Karibu utest ladha ya nissan....
Kangomba...umenikumbusha mbali sana....miaia hiyo nikiwa Mtwara na Lindi. ...huko kwa kina Somoe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah ntakuja mzee baba ila ngoja kidogo ule msimu wa kuitwa kangomba upite.