Toyota kuacha kutengeneza VX V8 2021

Toyota kuacha kutengeneza VX V8 2021

Honestly am addictive on driving bigger car!

Gari ikiwa chini ya engine capacity 2000 huwa sifikirii Kununua, zinakuwa nyepesi sana!

Pia gari ikiwa na chini ya speed 260km/h hiyo huwa Sitaki hata kuiskia, otherwise niendeshe ya mtu ila sio yangu!
Kariakoo to Tegeta Kwa gari yenye CC 3000 ya kazi gani? Au speed 260 haina tija Sana
 
Toyota wataacha kutengeneza gari model V8 kufikia 2021. Sababu kubwa ni ukubwa wa engine na uchafuzi wa mazingira especially diesel emissions.

Hii huenda ikawa taarifa mbaya kwa viongozi na wasiasa wengi ambao ni wapenzi wakubwa wq hizi gari

The iconic Toyota LandCruiser V8 is nearing the end of the road, with well-placed sources claiming the next generation 300 Series will have a choice of V6 turbo-diesel and V6 turbo petrol power when it goes on sale in late 2021 – before eventually being joined by a V6 hybrid a few years later.

Toyota says it's too early to discuss technical details of what will be the first completely new LandCruiser in 14 years, however CarAdvice understands the current 4.5-litre V8 turbo-diesel and 4.6-litre V8 petrol will be phased out due to tougher global emissions standards.

There is a slim chance the V8 could win a stay of execution given Australia's emissions standards are a decade behind Europe's, however it's unlikely Toyota would invest extra engineering resources into an old engine with a limited lifespan.

source please!!!


Wanasiasa watahamia hata Nissan Patrol au BMW X7&X8
 
Hii ni habari kwa wapenda magari mapya, sisi wa kununua magari ya zamani sio issue. Imagine hadi leo tunaagiza gari za 1990's, sio issue kabisa coz used bado zitakuwa sokoni hadi angalau 2040 huko.
 
Daah sasa kiduku lilo sijui atanunua gari gani maana ndo mambo yake haya...
 
Nissan Patrol ya sasa hovyo kabisa!

Muungurumo kama power tiller!
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23]
Kuna jirani yangu alikuwa na Nissan patrol mwaka mmoja hivi uliopita, Aisee lile gari lilikuwa linanguruma vizuri mpaka mb*oo inadinda [emoji15][emoji15][emoji15].....mlio wa kibabe injini invyoitikia gia..[emoji31][emoji31]
Yule fala si kauza lile gari.....kanunua vx flani hivi ingefanana na vx amazon...inaungurua kama Canter..[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]


Lakini hata Coaster box body zile EX..old model....achana na hizi coaster mayai..
Ukiikuta ina injini yake haijachokonolewa ..ile mashine inaunguruma vizuri.....Matoleo maoya kwa upande wa muungurumo wa injini yamepoteza raha kabisa
 
Nissan Patrol wao walipunguza size ya Engine kutoka 4.8L kwenda Nissan Patrol TI Y61 3.0L Turbo kwa diesel. Wali-maintain injini kubwa za 5.6 Litre na cylinder 8 kwa hizi mpya Nissan Patrol TI Y62 Series ambazo hadi sasa wanatoa za petrol tu. Ila sasa kwa mtu wa kawaida, huziwezi, maana zinakula mafuta hadi unalia! Wanaonunua ni watu wenye pesa ambao haoni taabu kujaza full tank kwa Tshs 300,000!

Kinachoudhi ni kwamba muungurumo wa Nissan Patrol Turbo 3.0L Diesel umekuwa kama trekta, sio kile kinanda cha Nissan Patrol za 4.8L za zamani ambazo tulikuwa tunavuta gia kila mtu anajua unapita na Nissan Patrol!
Mnguromo. Mbaya bora iwe silent kama vx v8
 
LandRover wameacha kutengeneza Deffender 110.. Toyota nao wanaachana na Landcruiser V8 sasa naona Icon za haya makampuni zinaptea... Soon Toyota wataleta usenge wa kuachana na LandCruiser hardTop!

All. In all mngurumo wa Land cruiser Series 80 unanikosha sana
 
Kuna jirani yangu alikuwa na Nissan patrol mwaka mmoja hivi uliopita, Aisee lile gari lilikuwa linanguruma vizuri mpaka mb*oo inadinda [emoji15][emoji15][emoji15].....mlio wa kibabe injini invyoitikia gia..[emoji31][emoji31]
Yule fala si kauza lile gari.....kanunua vx flani hivi ingefanana na vx amazon...inaungurua kama Canter..[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]


Lakini hata Coaster box body zile EX..old model....achana na hizi coaster mayai..
Ukiikuta ina injini yake haijachokonolewa ..ile mashine inaunguruma vizuri.....Matoleo maoya kwa upande wa muungurumo wa injini yamepoteza raha kabisa
Hahah sijui kwanini tu nilivyoona nissan patrol inalalamikiwa nikajua tu lazima ntakuona pande hizi.
 
Hahah sijui kwanini tu nilivyoona nissan patrol inalalamikiwa nikajua tu lazima ntakuona pande hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nissan ni gari nzuri sana ukizipatia huduma stahiki...

Karibu utest ladha ya nissan....
 
Hahah ntakuja mzee baba ila ngoja kidogo ule msimu wa kuitwa kangomba upite.
Kangomba...umenikumbusha mbali sana....miaia hiyo nikiwa Mtwara na Lindi. ...huko kwa kina Somoe...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Land Cruiser 100 Series 4.2L Diesel with Manual transmission, my all time favorite SUV. Bila kusahau Nissan Y60 TD42
 
Back
Top Bottom