Toyota kuacha kutengeneza VX V8 2021

Toyota kuacha kutengeneza VX V8 2021

Umeshawahi kanyaga pedal ya Range ukaisikilizia inavyounguruma?..
Mlio hautokei kwenye radio ya gari, umefatiria lakini jinsi mlio unapotokea?..
Kwani nilikwambia mlio wa range rover unatokea kwenye radio? itakuwa hujaelewa tu lakini ngoja nikufafanulie.

RANGE ROVER pamoja na kuwa very luxury (inayotegemewa kuwa iwe kimya), basi unapokanyaga mafuta mlio wa engine utausikia na utafeel tu. Kamwe huwezi kufananisha na sauti feki za gari ya umeme.
 
Kwani nilikwambia mlio wa range rover unatokea kwenye radio? itakuwa hujaelewa tu lakini ngoja nikufafanulie.

RANGE ROVER pamoja na kuwa very luxury (inayotegemewa kuwa iwe kimya), basi unapokanyaga mafuta mlio wa engine utausikia na utafeel tu. Kamwe huwezi kufananisha na sauti feki za gari ya umeme.
sawa boss
 
Toyota wataacha kutengeneza gari model V8 kufikia 2021. Sababu kubwa ni ukubwa wa engine na uchafuzi wa mazingira especially diesel emissions.

Hii huenda ikawa taarifa mbaya kwa viongozi na wasiasa wengi ambao ni wapenzi wakubwa wq hizi gari

The iconic Toyota LandCruiser V8 is nearing the end of the road, with well-placed sources claiming the next generation 300 Series will have a choice of V6 turbo-diesel and V6 turbo petrol power when it goes on sale in late 2021 – before eventually being joined by a V6 hybrid a few years later.

Toyota says it's too early to discuss technical details of what will be the first completely new LandCruiser in 14 years, however CarAdvice understands the current 4.5-litre V8 turbo-diesel and 4.6-litre V8 petrol will be phased out due to tougher global emissions standards.

There is a slim chance the V8 could win a stay of execution given Australia's emissions standards are a decade behind Europe's, however it's unlikely Toyota would invest extra engineering resources into an old engine with a limited lifespan.
Zitakuja model zingine bora zaidi
 
Kwani nilikwambia mlio wa range rover unatokea kwenye radio? itakuwa hujaelewa tu lakini ngoja nikufafanulie.

RANGE ROVER pamoja na kuwa very luxury (inayotegemewa kuwa iwe kimya), basi unapokanyaga mafuta mlio wa engine utausikia na utafeel tu. Kamwe huwezi kufananisha na sauti feki za gari ya umeme.
Unanunua gari usikilize mngurumo wa engine?

Magari ya umeme ni rahisi kuyamiliki ila tatizo ni miundombinu yetu.
 
Unanunua gari usikilize mngurumo wa engine?

Magari ya umeme ni rahisi kuyamiliki ila tatizo ni miundombinu yetu.
Kama sio Car enthusiast huwezi kuelewa raha ya kuisikia engine ikinguruma. Na kama unataka kujua jinsi mlio wa engine ulivo na umuhimu kwa mpenzi wa magari, hizo electric cars wameamua kuweka speaker ku simulate engine noise.
 
Naunga mkono hoja
Kama sio Car enthusiast huwezi kuelewa raha ya kuisikia engine ikinguruma. Na kama unataka kujua jinsi mlio wa engine ulivo na umuhimu kwa mpenzi wa magari, hizo electric cars wameamua kuweka speaker ku simulate engine noise.
 
Kwamba wao wana pesa sana kuliko sisi au? maana 0Km sio mchezo au ndio wanatufanyia figisu tushindwe na sisi?
Hiyo Call for USA markets only, Africans country nk.... Wataendelea kuzalisha vision kama kawaida nakuzileta.


Ila hii inaweza kuwa target market yakustopisha J200 SERIES labda watakuja na VX V9 J300 SERIES for US naabaadae kuziingiza African unajua wenzetu hawanunui USED CAR
 
Ivi GESI mkuu ikilipuka inakuaje apo kwa Bonet!!? amna kitu naogopa kama Gesi
Hii technology ya kutumia diesel engine na petrol inaenda ukingoni..
Kuna baadhi ya nchi za ulaya wameweka malengo Yao ikifika 2025 waanze kutumia Magari ya Umeme na gas(hybrid)
 
LandRover wameacha kutengeneza Deffender 110.. Toyota nao wanaachana na Landcruiser V8 sasa naona Icon za haya makampuni zinaptea... Soon Toyota wataleta usenge wa kuachana na LandCruiser hardTop!

All. In all mngurumo wa Land cruiser Series 80 unanikosha sana
.
2019-11-11%2008.31.50.jpeg
 
Kama sio Car enthusiast huwezi kuelewa raha ya kuisikia engine ikinguruma. Na kama unataka kujua jinsi mlio wa engine ulivo na umuhimu kwa mpenzi wa magari, hizo electric cars wameamua kuweka speaker ku simulate engine noise.
Kusimulate engine ni kukumbusha kwamba gari ipo on na sio kupeana mzuka.

Sijaona hizo simulation kwenye Tesla model zote.
 
Kusimulate engine ni kukumbusha kwamba gari ipo on na sio kupeana mzuka.

Sijaona hizo simulation kwenye Tesla model zote.
The main reason to simulate engine sound sio kukumbusha kuwa engine iko on. bali ni kukufanya wewe uwe na hisia ya kama vile upo kwenye gari yenye combustion engine. Tatizo wewe sio enthusiast. Wewe unaendesha gari ufike mahala tu.
Inawezakan labda hujui au umesahau kuwa Engine sound ni kitu ambacho kinapewa umuhimu kwenye production. LFA engine alipewa kazi Yamaha ku tune sound tu.

Tesla hazina engine sound simulation, how does the driver know it is on then?
 
The main reason to simulate engine sound sio kukumbusha kuwa engine iko on. bali ni kukufanya wewe uwe na hisia ya kama vile upo kwenye gari yenye combustion engine. Tatizo wewe sio enthusiast. Wewe unaendesha gari ufike mahala tu.
Inawezakan labda hujui au umesahau kuwa Engine sound ni kitu ambacho kinapewa umuhimu kwenye production. LFA engine alipewa kazi Yamaha ku tune sound tu.

Tesla hazina engine sound simulation, how does the driver know it is on then?
Mimi ni enthusiast, napenda speed na comfortability. Sipendi kelele. Subaru zinapiga kelele ila speed sifuri.
 
Kariakoo to Tegeta Kwa gari yenye CC 3000 ya kazi gani? Au speed 260 haina tija Sana
Mkuu hata kama ni km 5 kila siku unaendesha, gari yenye cc kubwa hata ikiwa silence kwenye foleni ina raha yake tofauti na cc ndogo. Kwangu mm ni kama ulevi, napenda sana. Na sijui ni mm au Ila hata performance ya AC kwenye engine kubwa huwa naona ni tofauti.
 
Mimi ni enthusiast, napenda speed na comfortability. Sipendi kelele. Subaru zinapiga kelele ila speed sifuri.
Unaona sasa? kumbe wewe sio mpenzi/shabiki wa magari, wewe ni shabiki/mpenzi wa spidi na comfortability, gari ni zaidi ya hivo viwili. Wewe ndio wale ambao mtakaa kwenye self driving cars na kusema kuwa unaenjoy kuendesha hio gari, wakati ulikuwa umekaa tu unaendeshwa.

Subaru inapiga kelele, kelele zake hazimkeri car enthusiast, infact, boxer engine ina sound nzuri sana, unasema kelele ila speed sifuri, mbele ya IST ilokuwa haina kelele? 😀
 
Mkuu kusikia kitu live ni tofauti na kusikia kwenye radio. Ukikanyaga mafuta hata range rover utahisi mngurumo wa engine.

Narudia, Feki ni Feki, haiwezi kuwa sawa na combustion engine. Ile kujua tu kama mlio unaotoka ni wa radio basi maini yanakatika.
Unapenda mlio.
 
Mimi ni enthusiast, napenda speed na comfortability. Sipendi kelele. Subaru zinapiga kelele ila speed sifuri.
Unaweza ukaishia kuzipenda na kuzijua majina tu na ukashindwa kuzi-afford.
 
Back
Top Bottom