Toyota Land Cruiser 70s - Series Moja ya Gari bora zaidi kuwahi kuundwa

Toyota Land Cruiser 70s - Series Moja ya Gari bora zaidi kuwahi kuundwa

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,449
695089.jpg


Hapa nazungumizia Models zote za 70s kama
70, 76, 78, 79...

Hizi Gari Mjapani alitengeneza kwa kweli,
Kila model anayotoa ni chuma
Ni imara, zina nguvu, zinavumilia,

Zilitengenezwa maarumu kwa off-road,
No wonder Ndio Gari Serikali nyingi zinatumia katika shughuli zake hasa katika mazingira/haliyahewa tete..
Juzi tuu hapa WHO nao wametangaza kua ndio gari watazitumia katika kusambaza kinga za Corona katika remote areas africa,

Ni gari flani ambazo ni haijakaa kifamilia sana sana,
Ni gari ya kazi...
Ni gari flani iliyo na heshima, ikiwekwa barabarani subiria kuona ikikupa indicator....

Sijaona Gari za kuja kushusha soko ya hii model,
Zamani kidogo Landlover Defender (tdi) zilikua angalau zinacompete nakumbuka idara nyingi za Serikali mfn polisi walikua wanatumia tdi na Cruiser ila sasa tdi ndio zinatoweka kabisa..

Kuna jamaa yangu aliachiwa na wazungu zawadi baada ya kuwasaidia sana kwenye project yao, ilikua mpyaaa kabisa maana ilitumika miezi 9, akaliuza bei ya hasara, hivi sasa kila akiliona linapita anaumia sana akanunua Noah, asaivi ashasahau hata screpa aliuza sh ngapi..

Sikumbuki ni lini niliona hii gari imepaki garage.
nzjwwbanzqe7edcc0hij.jpg
toyota-land-cruiser-70.jpg
274730336.jpg
punyxqrbuiw7.jpg
eb9381ee80706776fdcaf4918e24a9b2-1.jpg
1c26215a621b005acaf897086ac65920.jpg
c741b6983a6d556e67a6de5971440628.jpg
lwb-1.jpg


punyxqrbuiw7.jpg
 
Binafsi hizi gari nazipa 5 stars,
Mtaani kila mtu anaipa Jina lake ikipita..

usafiri pekee wa uhakika unaotumika kupandisha na kushusha watalii kule ngorongoro n.k..
Hii Gari ikikaa barabarani mwenyewe unasema hapa nipo kwenye gari sio Toroli..

Hivi wazee Noah ya Serikali???😝😝😝
 
Hii gari mjapani alicheza kivyake.. Mwanzo aliyumba alipoinyima lock-diff ila alipokuja kuipa lock-diff ndo ulikua mwisho wa kusema Landrover ndo gari ya tope na haikwami. kwa sasa kila chaka watu wanapiga chini TDi wanahamia kwny L/C kwa sababu ya upatikanaji wa spare na hata bei za spare zake sio mkasi tofauti na hizi LR. Kuna B number ya mwanzo kabisa ila ikiwaka ukiskia saut n kama macho panzi DQZ izi gari zingatia tu service utaendesha adi ufe hujawai shusha gear box wala fungua engine.
 
Back
Top Bottom