70 series zipo ila injini sio 1hzKwahio Australia kule watu hawaishi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
70 series zipo ila injini sio 1hzKwahio Australia kule watu hawaishi?
Na huenda likapeleka na maiti yako kijijini.. HAahaha Utani pembeni. Ukinunua hii gari unajikuta ina historia kwenye familia kama jina la ukoo. vizazi na vizazi watalikuta na kulitumia kama hawatoingia tamaa ya kuliuza. Sasa hawa wanaonunua PASSO ata mwanao hawezi jua kama ulishamiliki chuma.Gari za urithi hizi, unaendesha unaliacha homeboy wako nae anaendeleza gurudumu analiendesha tu lipo moja la Mshua serikali walilinunua 1990 jipya akaja akalinunua 2000 toka serikalini kwenye minada yao!
Mpaka sahizi lipo tu anadunda nalo ukipiga hesabu ni almost 40 years toka litoke kiwandani! Lilitumika kumpeleka bibi hospitali na msibani kijijini 1992! Likaja kutumika kwenye msiba wa maza 2001!
Limebeba history sana hilo gari mzee hawezi liuza!
Sasaivi xinakuja na injini ya V8/Hiyo ndio Land Cruiser ya ukweli na Engine yake ya 1HZ hatari sanaaa ngumu sana kuharibika
Kimfaacho mtu chake yaani anunue yeye auze gari yake unamwita bumunda...gari inashuka bei kutokana na toleo jipya kufika la zamani litakua old model itashuka bei sasa hivi wanaita dash board kubwa ndio zipo sokoni kuliko dash board ndogo za mwaka 2009 kurudi chini hakuna gari isiyoshuka bei...Huyo rafiki yako ni bumunda kweli!
Unauzaje usafiri kama huo?
Hizo gari haziwahi hata kushuka bei!
Alafu waasi wengi wanazipenda sana sababu ya nguvu.
Injini yake ni 4.0L
Umenichekesha sana mkuu upo sahihi maana pia magari ni changamoto sana hasa ukipata sumbufu haya imeonekana yanakubali mazingira yote..Tunasifu hili gari kutokana na maisha na mazingira duni tunayoishi...ila katika mazingira anayostahili kuishi binadamu hili gari sio.
Labda la kubeba kuni huko porini..
Upo sahihi kabisa mkuuHii gari mjapani alicheza kivyake.. Mwanzo aliyumba alipoinyima lock-diff ila alipokuja kuipa lock-diff ndo ulikua mwisho wa kusema Landrover ndo gari ya tope na haikwami. kwa sasa kila chaka watu wanapiga chini TDi wanahamia kwny L/C kwa sababu ya upatikanaji wa spare na hata bei za spare zake sio mkasi tofauti na hizi LR. Kuna B number ya mwanzo kabisa ila ikiwaka ukiskia saut n kama macho panzi DQZ izi gari zingatia tu service utaendesha adi ufe hujawai shusha gear box wala fungua engine.
Ndesamburo wa Moshi enzi hizo 100 series(V8) ndio zinatamba mjini yeye ya kwake alikua anaibebea matofali kupeleka site kwake.We hujui gari mzee wangu!! Ivi land Cruiser lx ukabebee kuni are you serious??? Iyo gari inauzwa milioni mia 120 ukabebee kuni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Toyota pia ni mdhamini wa magaidi duniani sio?maana Toyota zinatumiwa na magaidi Ya ISIS,Al-Shabab etcToyota ni mfadhili was UN ndio maana gari zao zinatumiwa na mashirika ya UN
Hizo ni hadith tuu mkuu wale wapo mbali na hayo ni magari na pia sokoni bei yake ni moja ya magari bei zipo juu kwenye minada ya SA hayo magari ya miaka ya karibuni yapo bei juu mno...hiyo Cruiser iliyogongwa inaweza kuwa sawa bei na Range Rover isiyogongwa ya mwaka huo huo...kuuza hiyo gari ni rahisi kuliko gari yeyote Nchi yeyote kuanzia hapo hapo SA tunasema hela ipo kwenye ATM wakati wowote unachukua na mnadani zinakua chache zinagombaniwa mnoAustralia ni wale wale tu mkuu...lilikuwa bara la wahalifu(gereza) la Waingereza.
Wana maeneo mengi sana ambayo kuyafikia ni changamoto, inabidi watumia haya magaripori.
Sio muoga alikua anafata kanuni sahihi za kuendesha chombo cha moto unataka akate na mia mumuokotee porini mje mseme alikua sio muoga tena...Na sometimes gari ni dereva siku Moja nilikuwa na cruiser hard top me nimeketi pemben engine hio hio 1 Hz tulipata jigi na brevis tuliisumbua sana ila kitu nilicho note ni kuwa jamaa wa brevis alikuwa muoga kupita maelezo kwenye Kona anapunguza mwendo kabisa
Daah yaani nchi yenye uchumi wa 12 kwa ukubwa dunia mzima inaongelewa Kama Chato vile.Australia ni wale wale tu mkuu...lilikuwa bara la wahalifu(gereza) la Waingereza.
Wana maeneo mengi sana ambayo kuyafikia ni changamoto, inabidi watumia haya magaripori.
Mpya ya 2020 au 2021 ni zaidi ya 120 mkuu jamaa kachemka tuu kwa LX hata hizo double au single bei zake zimesimama..We hujui gari mzee wangu!! Ivi land Cruiser lx ukabebee kuni are you serious??? Iyo gari inauzwa milioni mia 120 ukabebee kuni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo sababu nilisema huyu jamaa hajui magari ase!!! Maana iyo bei ya ranger ila hapa tunaongolea lxMpya ya 2020 au 2021 ni zaidi ya 120 mkuu jamaa kachemka tuu kwa LX hata hizo double au single bei zake zimesimama..
Continuation ya 1hz bado ipo kwenye 70seriesSasaivi xinakuja na injini ya V8/
Hahahahah kweli mzee baba gari ina historyNa huenda likapeleka na maiti yako kijijini.. HAahaha Utani pembeni. Ukinunua hii gari unajikuta ina historia kwenye familia kama jina la ukoo. vizazi na vizazi watalikuta na kulitumia kama hawatoingia tamaa ya kuliuza. Sasa hawa wanaonunua PASSO ata mwanao hawezi jua kama ulishamiliki chuma.
hiyo yote utakosea kuipa heshima mashine ya 1HZ ile ni jiko la gesi baba..
ogopa gari inakaa silence wiki 2 bila kuizima...
ni gari naitumia sana!!shida yake macho panzi usiipige nayo side ways tuu..inakutoa utumbo chapu.
ni gari ya uhakika wa kufika nayo popote muda wowote.