Toyota Land Cruiser 70s - Series Moja ya Gari bora zaidi kuwahi kuundwa

Na huenda likapeleka na maiti yako kijijini.. HAahaha Utani pembeni. Ukinunua hii gari unajikuta ina historia kwenye familia kama jina la ukoo. vizazi na vizazi watalikuta na kulitumia kama hawatoingia tamaa ya kuliuza. Sasa hawa wanaonunua PASSO ata mwanao hawezi jua kama ulishamiliki chuma.
 
Huyo rafiki yako ni bumunda kweli!

Unauzaje usafiri kama huo?

Hizo gari haziwahi hata kushuka bei!

Alafu waasi wengi wanazipenda sana sababu ya nguvu.

Injini yake ni 4.0L
Kimfaacho mtu chake yaani anunue yeye auze gari yake unamwita bumunda...gari inashuka bei kutokana na toleo jipya kufika la zamani litakua old model itashuka bei sasa hivi wanaita dash board kubwa ndio zipo sokoni kuliko dash board ndogo za mwaka 2009 kurudi chini hakuna gari isiyoshuka bei...
 
Tunasifu hili gari kutokana na maisha na mazingira duni tunayoishi...ila katika mazingira anayostahili kuishi binadamu hili gari sio.
Labda la kubeba kuni huko porini..
Umenichekesha sana mkuu upo sahihi maana pia magari ni changamoto sana hasa ukipata sumbufu haya imeonekana yanakubali mazingira yote..
 
Upo sahihi kabisa mkuu
 
Australia ni wale wale tu mkuu...lilikuwa bara la wahalifu(gereza) la Waingereza.

Wana maeneo mengi sana ambayo kuyafikia ni changamoto, inabidi watumia haya magaripori.
Hizo ni hadith tuu mkuu wale wapo mbali na hayo ni magari na pia sokoni bei yake ni moja ya magari bei zipo juu kwenye minada ya SA hayo magari ya miaka ya karibuni yapo bei juu mno...hiyo Cruiser iliyogongwa inaweza kuwa sawa bei na Range Rover isiyogongwa ya mwaka huo huo...kuuza hiyo gari ni rahisi kuliko gari yeyote Nchi yeyote kuanzia hapo hapo SA tunasema hela ipo kwenye ATM wakati wowote unachukua na mnadani zinakua chache zinagombaniwa mno
 
Sio muoga alikua anafata kanuni sahihi za kuendesha chombo cha moto unataka akate na mia mumuokotee porini mje mseme alikua sio muoga tena...
 
Australia ni wale wale tu mkuu...lilikuwa bara la wahalifu(gereza) la Waingereza.

Wana maeneo mengi sana ambayo kuyafikia ni changamoto, inabidi watumia haya magaripori.
Daah yaani nchi yenye uchumi wa 12 kwa ukubwa dunia mzima inaongelewa Kama Chato vile.
 
Hahahahah kweli mzee baba gari ina history
 
hello wakuu! je ni rahisi kufanya mod ya kubadili LC 80 yenye 1hdt kwenda 1HD-FTE? najua kunakuwa na gain ya power & torque, is it a worthwhile project? reliability inakuwaje?
 
Hizi mashine hata likipata ajali vip unalikuta linawaka.. Ahsante Land Cruiser...
 

Attachments

  • 20230213_145155.jpg
    989.4 KB · Views: 45
  • 20230213_145137.jpg
    965.7 KB · Views: 40
  • 20230213_145144.jpg
    1 MB · Views: 37

Uzuri wa 1hz hata ikiwa imetembea zaidi ya km 300000 bado inadunda tu kama mpya. Uzingatie service tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…