Car4Sale Toyota Prado bei sawa na bure

Car4Sale Toyota Prado bei sawa na bure

Dukani ni lugha tu ! Kwani uki -- google hupati bei ? Ni swala la kujua depreciation katika uchumi !
 
Hili gari labda akawauzie washamba wa shinyanga wanaweza nunua angalau kwa 14 ila kwa Dar hupati zaidi ya 10m.
 
Nachokukubali kiongozi ni kipaji chako. Unawezaje kupoteza muda wako kubishana na vimwaga mkojo visivyomiliki japo Vitz old model? Yaani serious kabisa unamjibu mtu anayelinganisha hiyo Prado na Vitz 4? Like serious? We jamaa una moyo mkuu sana wa uvumilivu...

All the best though...
Madalali mnashida sana. Mkikabodhiwa vitu kuuza mnajifanya ndio wamiliki.
 
Nachokukubali kiongozi ni kipaji chako. Unawezaje kupoteza muda wako kubishana na vimwaga mkojo visivyomiliki japo Vitz old model? Yaani serious kabisa unamjibu mtu anayelinganisha hiyo Prado na Vitz 4? Like serious? We jamaa una moyo mkuu sana wa uvumilivu...

All the best though...
Thanks for the advice manake kuna wengine wanazungumzia depreciation wakati wala hawajui bei ya kununulia ilikuwa ngapi!!

Mkuu mob, naomba unipe value ya gari yangu kwa kutumia kanuni ya depreciation kama ambavyo uliongea kuhusu depreciation! Nakuomba usitoe figure kichwani bali u-calculate step by step kama ambavyo mimi nilifanya kwenye ile $10,692 Prado! Kama huwezi, basi kwa moyo safi kabisa, nakuomba tufunge mjadala manake, honestly speaking, am wasting my time kwa watu ambao wala hamuelekei kuwa mnaweza kuwa wateja wangu hata kama nitauza kwa 5M.
 
Madalali mnashida sana. Mkikabodhiwa vitu kuuza mnajifanya ndio wamiliki.
Wewe ni kukumdogo tu. Kazi yako kutaga mayai. Mambo ya magari waache wanaoyajua. We inavyoonesha baba yako hajawahi kumiliki japo bodaboda. Ni kisirani tu ambaye kazaliwa kwenye ukoo wa kimaskini sana anayeweza sema eti anaagiza Prado chini ya 20M. Kubali tu umezaliwa fungu la kukosa... magari we utayapanda either kwa lift au kulipia nauli.

Vinginevyo jitume kwenye Konki konki oil chafu unaweza kubahatika.

Waache wenye magari yao wayauze wanunue mengine. Malabuku zako na robo
 
Wewe ni kukumdogo tu. Kazi yako kutaga mayai. Mambo ya magari waache wanaoyajua. We inavyoonesha baba yako hajawahi kumiliki japo bodaboda. Ni kisirani tu ambaye kazaliwa kwenye ukoo wa kimaskini sana anayeweza sema eti anaagiza Prado chini ya 20M. Kubali tu umezaliwa fungu la kukosa... magari we utayapanda either kwa lift au kulipia nauli.

Vinginevyo jitume kwenye Konki konki oil chafu unaweza kubahatika.

Waache wenye magari yao wayauze wanunue mengine. Malabuku zako na robo
Mbona umeongea lugha ya kimaskini sana!? Nakuambia ukweli hilo gari nasisitiza haliuziki juu ya 10m.
 
mkuu we endelea tu kufugia mende maana hamna namna sasa
 
Mbona umeongea lugha ya kimaskini sana!? Nakuambia ukweli hilo gari nasisitiza haliuziki juu ya 10m.
Sawa. Maana kwako wewe unahisi 10M ni hela nyiiingi za kujengea madanguro.
 
Sawa. Maana kwako wewe unahisi 10M ni hela nyiiingi za kujengea madanguro.
Labda hata kuagiza hujui. Angalia bei na kunaroom for negotiation. Alafu unaleta utumbo wako huku utafikiri watu washamba sana
Screenshot_20181109-183705.jpg
 
Madalali mnashida sana. Mkikabodhiwa vitu kuuza mnajifanya ndio wamiliki.
Mwenzako nimempa assignment yake ili nifunge nae mjadala! Sasa narudi kwako ambako since day, umekomaa kishenzi kwa vijineno vijineno ambavyo hadi sasa napata taabu kufahamu ikiwa nabishana na mtoto wa kike au na kivulana chenye elements za kike manake kwa jinsi ulivyokomaa, unaweza kusema hii gari ni ya mumeo na kwahiyo inakuuma kuikuta sokoni bila wewe kutaarifiwa!

Sasa hebu nijuze: Hivi kinachokukera au kukuumiza hasa ni nini kwa mimi kuuza hiyo gari kwa hiyo bei! Au hata kama ni dalali, kinachokuumiza hasa ni nini?!
 
Labda hata kuagiza hujui. Angalia bei na kunaroom for negotiation. Alafu unaleta utumbo wako huku utafikiri watu washamba sanaView attachment 927831
Duh! Dadangu unaonakena upo desperate ile mbaya! Yaani kuweka hayo ma-screenshot ndo tayari umeshakuwa mtalaamu wa kuagiza magari?!! Sasa hiyo screenshot ndo ina-prove au ku-suggest nini?! Sasa kwavile hizo zinauzwa kwa hiyo bei ndo unatarajia kila prado inatakiwa kuthaminishwa kwa kuangalia hizo bei?!

Haya tuichukue hiyo ya mwaka 1998 ambayo bei yake ni $7500 ingawaje haijulikani kama ni CIF au FOB but nita-assume ni CIF ili kukuridhisha a presumably desperate lonely chick!!

1. Import Duty ni 25% ambayo itakuwa $1,875 + 7,500 = $ 9,375
2. Excise Duty on cc ni 10% ambapo itakuwa $937.5 + 9,375 = $ 10,312.5
3. Excise Duty on car years ni 30% ambapo itakuwa = $ 3,093.75 + 10, 312.5 = $13,406.25
4. VAT ni 18% ambapo itakuwa 2,413.125 + 13, 406.25 = $15, 819.375

Exchange rate ya leo according to CRDB ni TZS 2,344/$ na kwahiyo Sub Total itakuwa TZS 37,080,615

Sasa hiyo gari uliyoona ni $7500 ukataka kuichukulia poa sawa na Vitz fulani, kabla ya ushuru wowote ule, tayari thamani yake ni TZS 37,000,000 na ni ya mwaka 1998 ikiwa imetembea 176,000KM!

Ukichanganya na maushuru mengine including clearing, inaenda zaidi ya TZS 40,000,000 ndo unatoka nayo bandarini!

But all in all, nijibu swali langu kwenye post #91 manake nataka kufunga mjadala na wewe!!
 
Duh! Dadangu unaonakena upo desperate ile mbaya! Yaani kuweka hayo ma-screenshot ndo tayari umeshakuwa mtalaamu wa kuagiza magari?!! Sasa hiyo screenshot ndo ina-prove au ku-suggest nini?! Sasa kwavile hizo zinauzwa kwa hiyo bei ndo unatarajia kila prado inatakiwa kuthaminishwa kwa kuangalia hizo bei?!

Haya tuichukue hiyo ya mwaka 1998 ambayo bei yake ni $7500 ingawaje haijulikani kama ni CIF au FOB but nita-assume ni CIF ili kukuridhisha a presumably desperate lonely chick!!

1. Import Duty ni 25% ambayo itakuwa $1,875 + 7,500 = $ 9,375
2. Excise Duty on cc ni 10% ambapo itakuwa $937.5 + 9,375 = $ 10,312.5
3. Excise Duty on car years ni 30% ambapo itakuwa = $ 3,093.75 + 10, 312.5 = $13,406.25
4. VAT ni 18% ambapo itakuwa 2,413.125 + 13, 406.25 = $15, 819.375

Exchange rate ya leo according to CRDB ni TZS 2,344/$ na kwahiyo Sub Total itakuwa TZS 37,080,615

Sasa hiyo gari uliyoona ni $7500 ukataka kuichukulia poa sawa na Vitz fulani, kabla ya ushuru wowote ule, tayari thamani yake ni TZS 37,000,000 na ni ya mwaka 1998 ikiwa imetembea 176,000KM!

Ukichanganya na maushuru mengine including clearing, umelipa pesa ndogo kabisa ni 40,000,000 ndo unatoka nayo bandarini!

But all in all, nijibu swali langu kwenye post #91 manake nataka kufunga mjadala na wewe!!
Nimekuonyesha ya 2004 wewe tena kilometa 96,000. Jumla kuu paka kufika hapa ni dola 14k ambayo ni almost 29m. Sasa yakwako ilikuwa used. Umenunua 2011. Imetembea paka imechakaa alafu uuze kwa bei ya kuagizia JP. Kuwa serious. Huwezi kuliuza
 
Nimekuonyesha ya 2004 wewe tena kilometa 96,000. Jumla kuu paka kufika hapa ni dola 14k ambayo ni almost 29m. Sasa yakwako ilikuwa used. Umenunua 2011. Imetembea paka imechakaa alafu uuze kwa bei ya kuagizia JP. Kuwa serious. Huwezi kuliuza
Ndo maana nimekuambia hujui lolote! Utabaki kuwa kifaranga mla mapumba na kama nadanganya; weka hapa step by step calculation ambayo gari ya $7,382 ukapata total price itakuwa $14K!

I swear, ukiweka correct
computation hapa na ukapata $14K; NAAPA kwa miungu yote na-delete hii thread!

Halafu angalia unavyoshindwa hata vitu vidogo! Yaani hata dollar conversion hufahamu halafu unajifanya eti ushawahi agiza gari! Kadanganye vilaza wenzako maana hatimae umethibitisha hujui lolote.

Narudia:

1. Jibu swali langu #91 linalohoji mbona unaonekana unawashwa washwa sana na hii gari?! Ni gari ya mumeo lakini hakukushirikisha kwenye kuiingiza sokoni?

2. Weka hapa step by step calculation itakayo-conclude 2004 car at $7,382, unaichukua kwa 29M.

3. Kama mimi ni dalali; wewe unawashwa washwa vp na udalali wangu? Au mi ni mumeo kwahiyo hupendi kuona mumeo anakuwa dalali?
 
Ndo maana nimekuambia hujui lolote! Utabaki kuwa kifaranga mla mapumba na kama nadanganya; weka hapa step by step calculation ambayo gari ya $7,382 ukapata total price itakuwa $14K!

I swear, ukiweka correct computation hapa na ukapata $14K; NAAPA kwa miungu yote na-delete hii thread!

Halafu angalia unavyoshindwa hata vitu vidogo! Yaani hata dollar conversion hufahamu halafu unajifanya eti ushawahi agiza gari! Kadanganye vilaza wenzako maana hatimae umethibitisha hujui lolote.

Narudia:

1. Jibu swali langu #91 linalohoji mbona unaonekana unawashwa washwa sana na hii gari?! Ni gari ya mumeo lakini hakukushirikisha kwenye kuiingiza sokoni?

2. Weka hapa step by step calculation itakayo-conclude 2004 car at $7,382, unaichukua kwa 29M.

Jibu hayo maswali or else shut the **** up kwa sababu hizo elements zako za kichoko nimezivumilia since Day 01. Huwezi kukurupuka from nowhere na kukomalia biashara za watu; kama sio kuwashwa tuite nini? Wewe ni mke wangu kwamba unafahamu hiyo gari ilinunuliwa bei gani? Acha mambo ya kise'nge kwenye biashara za watu na kama hiyo ndiyo njia yako ya kupata mabwana hapa JF, then this jumped to a wrong guy!

Btw; kama hiyo ya 2004 ni very cheap kiasi hicho; kwanini basi usiende kuichukua badala ya kuleta use.nge wako kwenye kazi za watu? Au ndo kuwashwa kwenyewe ninakosema?!
Dalali umeanza hadi matusi!! Kweli madalali hawajifichi. Unatupa rate yako ya dola CRDB ya 2350 na huku Bchange ni kuuza ni 2300. Alafu TRA wamesimply vitu ingiza ndinga zote kwenye calculator unapata price ya kuipata gari yako hadi Dar. Tena hapo haujabagain.. Endelea kutukana uone kama kunamteja ila. Naweza kukusaidia nikupe 9.5m hapa at least nilifanye spare tu
 
Ndo maana nimekuambia hujui lolote! Utabaki kuwa kifaranga mla mapumba na kama nadanganya; weka hapa step by step calculation ambayo gari ya $7,382 ukapata total price itakuwa $14K!

I swear, ukiweka correct computation hapa na ukapata $14K; NAAPA kwa miungu yote na-delete hii thread!

Halafu angalia unavyoshindwa hata vitu vidogo! Yaani hata dollar conversion hufahamu halafu unajifanya eti ushawahi agiza gari! Kadanganye vilaza wenzako maana hatimae umethibitisha hujui lolote.

Narudia:

1. Jibu swali langu #91 linalohoji mbona unaonekana unawashwa washwa sana na hii gari?! Ni gari ya mumeo lakini hakukushirikisha kwenye kuiingiza sokoni?

2. Weka hapa step by step calculation itakayo-conclude 2004 car at $7,382, unaichukua kwa 29M.

Jibu hayo maswali or else shut the **** up cos' I been patience with you since Day 01.

Huwezi kukurupuka from nowhere na kukomalia biashara za watu; kama sio kuwashwa tuite nini? Wewe ni mke wangu au kimada wangu unayefahamu hiyo gari ilinunuliwa bei gani? Acha mambo ya kise'nge kwenye biashara za watu wewe na kama hiyo ndiyo njia yako ya kupata mabwana hapa JF, then this time you jumped to a wrong guy!

Btw; kama hiyo ya 2004 ni very cheap kiasi hicho; kwanini basi usiende kuichukua badala ya kuleta use.nge wako kwenye kazi za watu? Au ndo kuwashwa kwenyewe ninakosema?!
Nilichogundua wengi hawajui Bei ya hizo gar an wanakuja kukuponda ili mradi wamechangia tu...binafsi labda Kama hiyo gar Ina tatizo jingine ambalo sijaliona kwenye pic ila Bei uliyoweka kwa sampuli ya Prado tx ya 2004...Bei ni sawa kabisa..BTW watu wana stress za maisha so wavumilie tu...
 
Nilichogundua wengi hawajui Bei ya hizo gar an wanakuja kukuponda ili mradi wamechangia tu...binafsi labda Kama hiyo gar Ina tatizo jingine ambalo sijaliona kwenye pic ila Bei uliyoweka kwa sampuli ya Prado tx ya 2004...Bei ni sawa kabisa..BTW watu wana stress za maisha so wavumilie tu...
Kanikera sana huyo jamaa hadi kanifanya ni-lose temper jambo ambalo si utamaduni wangu kuongea maneno machafu! Na nimemvumilia huyo tangu jana! Kwenye hii thread ana post zaidi ya 10 na kote huko nikalazimika kujifanya mjinga kiasi cha kuwapa members wengine ku-react kwa niaba yangu lakini akawa anazidisha as if ametumwa kuja kufanya hujuma!
 
Dalali umeanza hadi matusi!! Kweli madalali hawajifichi. Unatupa rate yako ya dola CRDB ya 2350 na huku Bchange ni kuuza ni 2300. Alafu TRA wamesimply vitu ingiza ndinga zote kwenye calculator unapata price ya kuipata gari yako hadi Dar. Tena hapo haujabagain.. Endelea kutukana uone kama kunamteja ila. Naweza kukusaidia nikupe 9.5m hapa at least nilifanye spare tu
Jibu maswali niliyokuuliza vinginevyo piga kimya! Vile vile nilikuuliza; mimi nikiwa Dalali; wewe unawashwa nini? Au na mumeo ni Dalali kwahiyo unahofia nitamzibia riziki?!
 
Unaweza jibu kwa kuangalia nambaView attachment 928107
kwahiyo ukijumlisha hiyo CIF na Total Tax ndo unapata $14K? Ndo maana nikakuambia wewe kilaza! Na clearing utaifanya mwenyewe?

All in all, jibu maswali ambayo nimekuuliza!

1. Mbona unawashwa sana na hiyo gari? Ni ya mumeo?

2. Udalali wangu mimi wewe unakusumbua nini? Kwani mi ni mumeo na kwahiyo hupendi kuona mumeo anakuwa dalliance?
 
Back
Top Bottom