Huwa ni kazi sana, sababu unahisi unaibiwa, halafu hujui unaibiwa nini na wapi.
Mie kuna fundi mmoja nilimpata, nikamwambia, hata ukiniibia poa, ila unitengenezee kiukweli. Hukawii kuambiwa kubadili vifaa, afu hata hawakuwekei vipya.
Kuna siku nimeambiwa mshikio wa sterling umepasuka, nikaambiwa 250,000. Hadi leo sijawahi kuelewa kilikuwa ni nini.
Mkuu Kingmairo kauliza swaIi Ni Prado zote au mnazungumzia model gani wakuu?
Ni kweli nina IQ finyu sana ndio maana wewe mwenye IQ kubwa unajitahidi ku-argue nonsense na mtu mwenye IQ ndogo (wewe ambae si Mtanzania)
Hata hivyo sielewi kwanini unapenda kujipa maisha ambayo huna, mbona tunakujua maisha yako ni ya kawaida sana? Usijifiche nyuma ya Keyboard ukadhani hujulikani, sasa ungekua na aikili kweli sidhani kama ungeongea utumbo kama huo eti Watanzania wana IQ ndogo sana....poor you.
Ok umeshinda
Bahati mbaya sifanyi kitu ili nisifiwe, siko kwajili ya kumridhisha au kumsifia mtu hasa nikijua kuwa kuna vichaa kama nyie......hata hivyo sioni kama kulikua na sababu ya wewe ku-comment kwenye huo "utumbo". kitu cha kushangaza kinachonipa mashaka na akili yako na uwezo wako wa kufikiri ni kuona jinsi unavyofanya hitimisho kuwa mimi ni punguani na kwamba hakuna namna ambayo ninaweza kubadilika, Kweli? unakaa kwenye Key board unahitimisha hivyo? Hahahahaaa haya tuendelee Mimi Punguani na Wewe mwenye akili......Kuna utumbo zaidi ya uliokuja nao wa kujisfu kuvunja sheria? eti mimi naenda "130", ulifikiri utasifiwa ujinga wako? punguani punguani tu, huwezi kuelimika maisha yako. Hata umaliziwe walimu wa dunia unabaki kuwa hiyvo-hivyo tu. Hiyo ndio tofauti kubwa kati yako na mimi.
Hebu kuweni specific prado gani inaongelewa na kama ni stability tuchambue mifumo ya chini kama ni tie rods, suspensions, coil au leaves, swivels n.k !!!!
75 na 90W Kzj model au RX na TX achilia mbali miaka na matoleo???!!!!!
Gari inakuwa assembled sasa tukisema tu haina stability wakati wengine tunatumia long distance, Dar - Makambako say,unless iwekwe wazi hapa nini haswa kinakuwa criticized kwa gari husika!!!!! Nini kinasababisha tairi kuchomoka?????!!!!!
Hivi kuna gari inaongoza kwa matatizo ya kuhama tairi kama Mark11 gx model especially 100series????!!!!!
Gari ina height ndefu na a bit narrow base ukitaka kuendesha kama unaendesha vx au rover hapa mimi ntakulaumu dereva na sio gari!!!!!
MANI, CYBERTEQ, RRONDO
Nyinyi ndio mnasabisha ajali watu wanapoteza maisha yao halafu mnajisifu. Tanzania maximum speed ni 100Kph.
Kama una nia ya kujiua usitafutie balaa na wengine, kuna njia nyingi za kujipotezea maisha bila kupotezea maisha na wengine nazo zipo nje ya barabarani.
Huo ni ujinga na si sifa.
Kama kuna vitu huwa namuona mtu jiniaz, ni akiongelea mambo ya mfumo wa gari. SIjui eksozi, sterling pound, kabyuleta na otoneta.
I know nothing, yaani ni Mungu saidia tu. Kasheshe ni kupeleka gereji, unaulizwa unafanya service ya nini na nini, najibu ya gari zima.
Hapo ndio utajua sifa ya udereva.
Ha ha haa hizo kaka ukisikia knock chini wahi ball joints fasta la sivyo shavu linakalia tyre!!!!!hahaa umenikumbusha mzinga mmoja sitausahau. prado zina matatizo yake kwenye barabara zetu zenye bumps, bumps ni nightmare kwa prado. gx100 zenyewe ni kujipiga "mtama", subiri nakuja mkuu.
Kaka weeee mi nilifunzwa kuwa kila gari lina miiko yake!!!!
Kabisa mkuu sio 109 wanataka upige nalo misele.
ina shida ya stability
i am a person who drive long distance, ila nikiendesha prado nachoka sana kwasababu ni gari inayohitaji full attention, jiwe dogo linaweza kuitoa barabarani, breki kali inakutupa, kona ndogo inaweza kukutupa
gari inachupa
Kabisa kaka au uendeshe journey kwa experience ya breki za coaster lazima ikushangaze!!!!!!
Brake za journey balaa kuna moja lilinitesa kutoka kasumulu to dar na mguu moja tu..
mimi haijatupa mtu na imetembea iringa dar at 150km
dodoma dar at 150.
Haijafanyiwa service iko dar inaendelea poa trj120 prado 2005
Ha ha haa hizo kaka ukisikia knock chini wahi ball joints fasta la sivyo shavu linakalia tyre!!!!!
Kuna model nyingi za Prado kwa sasa hivi, hebu tujuzeni ni model zote au za kuanzia miaka fulani kurudi nyuma? This is my dream car in the line, hasa model ya kuanzia 2005 kuja mbele.
Cc:Janjaweed
Mchambuzi
Kabisa kaka au uendeshe journey kwa experience ya breki za coaster lazima ikushangaze!!!!!!