Toyota Rumion 2008 vs 2010; nichukue ipi wakuu?

Mpaka unaipata mkononi umetumia kama hela ngapi mkuu?
 
Safi mkuu ukishalipata itupe mrejesho wa wadau mara sijui bampa limeshuka chini etc..Mungu akijaalia nataka nije nikae humo nami
Nimeshatoa update mkuu. Cheki post ya kwanza
 
Spensa umeweka za nini?

Si angalau ungenunua tairi ya size kubwa kidogo kuliko kuweka spensa
 
Spensa umeweka za nini?

Si angalau ungenunua tairi ya size kubwa kidogo kuliko kuweka spensa
Mkuu tairi na rim mpya ni zaidi ya 2M. Kwa kuwa nilichokuwa natafuta ni kuinua gari na kwa 60,000 spensa zimetatua nikaona poa tu.

Mkuu, kwanini unashuri tairi na rim size kubwa badala ya spensa? Naomba kujifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ