Billion Dolar
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 1,292
- 2,953
Ww unamiliki hata bodaboda kweliHili nalo gari au jeneza tu, umbo baya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww unamiliki hata bodaboda kweliHili nalo gari au jeneza tu, umbo baya
Kwa Toyota, mara nyingi matoleo mapya huwa yeboreshwa
Pamoja mkuu.Rumion hata mm naipenda sana barabara sasa ni lami nchi nzima so mnaoishi madongoni nunueni trekta zitawafaa
Mpaka unaipata mkononi umetumia kama hela ngapi mkuu?Habari ya wakati huu wakuu.
Mwenzenu nimeamua kuchukua Rumion ila sasa nimekuta kuna toleo la 2007-2008 na toleo la 2010-2015.
Haya matoleo mawili nimeona yana tofauti ndogo za muonekano; show ya mbele, ndani kwenye dashboard hasa sehemu ya AC na ndani kwa nyuma. Sijui kuhusu uimara, perfomance na changamoto zake kulingana na matoleo hayo mawili.
Naombeni mnishauri nichukue ipi kwa kuzingatia uzoefu wenu.
View attachment 2071197
2010View attachment 2071198
2008
UPDATE 17 April 2022
Gari limefika tangu March mwanzoni. Niliamua kuchukua la 2008 kwa sababu ya bajeti. 2010 ushuru wake ulikuwa juu.
Gari zuri halina shida. Utulivu barabarani, space kubwa ya kutosha na lina mziki mkubwa sana, hakuna haja ya kuongeza speaker za ziada.
Changamoto yake kuu ilikuwa kugusa chini. Hata tofali la block likilazwa huvuki. Ni kama ilivyo kwa Nissan Fuga, Wish, Alphad, IST, Vitz n.k.
Nimeshaitatua hiyo changamoto kwa kuliinua. Hakuna kilichobadilika kimuonekano na utendaji na haligusi tena.
Asanteni nyote mliochangia mawazo.
14MMpaka unaipata mkononi umetumia kama hela ngapi mkuu?
mambo ya ushuru inaelekea yako juu sana,rafiki yangu kanunua ,premio japan kwa 8M,mpaka inafika mkononi imemkosti jumla 17M.
Ushuru ni balaa. Mimi kununua na ushuru ilikuwa 16M ila Mungu saidia nikalipia 14M.mambo ya ushuru inaelekea yako juu sana,rafiki yangu kanunua ,premio japan kwa 8M,mpaka inafika mkononi imemkosti jumla 17M.
Affordble price kwa nyakati hizi
Hata baiskeli huna unakuja kutupigia kelele hapa jf.Hili nalo gari au jeneza tu, umbo baya
Hii Extrail ni gari gani?
Mzee unataka ushuke kwenye tezzaSafi mkuu ukishalipata itupe mrejesho wa wadau mara sijui bampa limeshuka chini etc..Mungu akijaalia nataka nije nikae humo nami
Nimeshatoa update mkuu. Cheki post ya kwanzaSafi mkuu ukishalipata itupe mrejesho wa wadau mara sijui bampa limeshuka chini etc..Mungu akijaalia nataka nije nikae humo nami
Spensa umeweka za nini?Habari ya wakati huu wakuu.
Mwenzenu nimeamua kuchukua Rumion ila sasa nimekuta kuna toleo la 2007-2008 na toleo la 2010-2015.
Haya matoleo mawili nimeona yana tofauti ndogo za muonekano; show ya mbele, ndani kwenye dashboard hasa sehemu ya AC na ndani kwa nyuma. Sijui kuhusu uimara, perfomance na changamoto zake kulingana na matoleo hayo mawili.
Naombeni mnishauri nichukue ipi kwa kuzingatia uzoefu wenu.
View attachment 2071197
2010View attachment 2071198
2008
UPDATE 17 April 2022
Gari limefika tangu March mwanzoni. Niliamua kuchukua la 2008 kwa sababu ya bajeti. 2010 ushuru wake ulikuwa juu.
Gari zuri halina shida. Utulivu barabarani, space kubwa ya kutosha na lina mziki mkubwa sana, hakuna haja ya kuongeza speaker za ziada.
Changamoto yake kuu ilikuwa kugusa chini. Hata tofali la block likilazwa huvuki. Ni kama ilivyo kwa Nissan Fuga, Wish, Alphad, IST, Vitz n.k.
Nimeshaitatua hiyo changamoto kwa kuliinua. Nimeweka spensa (nimeandika kama inavyotamkwa) kwa Tsh. 60,000 (vifaa na ufundi). Hakuna kilichobadilika kimuonekano na utendaji na haligusi tena.
Asanteni nyote mliochangia mawazo.
Mkuu tairi na rim mpya ni zaidi ya 2M. Kwa kuwa nilichokuwa natafuta ni kuinua gari na kwa 60,000 spensa zimetatua nikaona poa tu.Spensa umeweka za nini?
Si angalau ungenunua tairi ya size kubwa kidogo kuliko kuweka spensa
Hakuna kubadilisha rim, ni tairi tu.Mkuu tairi na rim mpya ni zaidi ya 2M. Kwa kuwa nilichokuwa natafuta ni kuinua gari na kwa 60,000 spensa zimetatua nikaona poa tu.
Mkuu, kwanini unashuri tairi na rim size kubwa badala ya spensa? Naomba kujifunza.
Nilitaka nihame ila mnyama yupo vizuri sana...Mzee unataka ushuke kwenye tezza
Huyo mnyama hatari sana,kaa kibabe sanaNilitaka nihame ila mnyama yupo vizuri sana...
Used au😂😂😂 iyo sio bei ya rumion chassis namba mkuu