Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usinunue gari iliyopigwa rangi aisee
heeeeeeeIkiendeshwa na mdada huwa inatumia maji badala ya petroli
Nayo inaota kipochi manyoya.....hahaha Konki konkie konkie master,,,halafu anacheka kama katoka shambaaasijajua maana ya swala zima la kuendeshwa na mdada?
Wadada wanatunza sana gari bila shakasijajua maana ya swala zima la kuendeshwa na mdada?
Mkuu,mkuu ww ushawahi kununua gari isiyopigwa rangi au wapi wanauza gari zisizopigwa rangi? shida ni nini hasa gari ukipigwa rangi
heeeen't starlet?heeeeeee
Mkuu,
Kwa hilo swali ulouliza hapo [emoji115]
Bila shaka utakua hujui chochote kuhusu magari.
Probably, Utakua kwenye kozi ya dalali kwa vitendo
Hakuna Gari Isiyo na Rangi, Hata Japan huko Magari ya Rangi,ndio imepigwa rangi shida nini kiongozi gari ikipigwa rangi
kijana ameelewa...karibu sana mkuu saju bHata mimi namsaidia gari ikipigwa rangi kuna ubaya gani? Au labda utoe sababu zako lakin c general tu eti usinunue gari ilipigwa rangi. Ukute hata gari yenyewe hujawahi kumili unadandia maneno ya mtaani tu.