Hili swala sio la Kichama ni la Kitaifa kwa hiyo Mnyika aliongelee ili tujue 2025 sio mbali.Alishindwa kuongonza madamano ya nchi nzima wakati mwenyekiti wachama iko jela miazi (9).... mpaka ametoka wanachama wote kimyaaaa tu.
Tatizo kubwa la watu wenye kipato kidogo ni kufikiri ni haki yao kikatiba kutolipa kodi.Hizo ni Nchi zenye vipato vizuri hebu angalia hapa Barani AFRICA hakuna kitu kama hicho.
Tatizo wanatumia kununua v8 za 500ml.ndio maana wananchi tunalalamika sana.Hizi kodi zinauma.
Lakini imebidi nifanye kautafiti kidogo kuchunguza kama Mwigulu kalewa madaraka au la!
Tozo katika Mabenki ipo nchi nyingine nyingi tu duniani, ni kodi hii kwa ujumla inaitwa Bank Transaction Tax.
Kodi hii haichagui mnene au mfupi, tajiri au masikini, mwenye kipato na asiye na kipato.
Alimradi umeitumia benki upitisha malipo au mdeni, basi tozo(levy) inachajiwa kwa kila transaction.
Tatizo lililopo ni kiasi cha tozo hiyo.
Tozo hatuzipendi lakini tufanyeje?
Lakini mkuu unajua principles za kodi nzuri 1. Lazime iwe progressive ulipwe kuligana na kipato, wenye hakuna vipato wasilipe kodi 2. Usilipishwe mara mbili kwa kipato kile kile kwa mtu ule ule, 3. Kuepo na value added au katika hiyo pesa kabla ya kodi.nk Kweli hizo tozo zinakidhi hivyo vigezo, au mnatetea bila kutafakaliTatizo kubwa la watu wenye kipato kidogo ni kufikiri ni haki yso kikatiba kutolipa kodi.
Na pili wanafikiri ni haki yso kikatiba ku kutumia kodi waliyokatwa wengine.
Soma vizuri mada uielewe.Lakini mkuu unajua principles za kodi nzuri 1. Lazime iwe progressive ulipwe kuligana na kipato, wenye hakuna vipato wasilipe kodi 2. Usilipishwe mara mbili kwa kipato kile kile kwa mtu ule ule, 3. Kuepo na value added au katika hiyo pesa kabla ya kodi.nk Kweli hizo tozo zinakidhi hivyo vigezo, au mnatetea bila kutafakali
Shameilimradi maendeleo tanayaona hakuna shida kabisaaa......tozo iendelee tena nashauri ziangaliwe njia nyingine za kuchangia maendeleo yetu...