Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
Ndo mtajua JPM alikuwa mtetezi wenu au alikuwa anatania
Huyu bibi arudi kwao anaboa sasa.Mama anataka hela ya kwenda saloon na kununua make up,
Mbona sisi tunaotumia Vodacom tulikuwa tunatozwa kitambo sana. Huwezi hata kuangalia salio kwa SIMBanking bila kuwa na salio kwenye simu yao
Ye ndo chanzo kutuletea wabunge wasiochaguliwa na wananchiNdo mtajua JPM alikuwa mtetezi wenu au alikuwa anatania
Akalee wajukuuu 2025Huyu bibi arudi kwao anaboa sasa.
Huyu bibi arudi kwao anaboa sasa.
Kama kayakumbatia hali wasomi wamejaa mitaani jeMutamlaumu bure tu uyu mama, kuna mabaki yamebakia ndio yanamshauri vibaya, And all they want aharibu ili tumchukie.
Atumie akili yake akichanganya na za kuambiwa, kama hawezi ajiuzulu mara moja!Mutamlaumu bure tu uyu mama, kuna mabaki yamebakia ndio yanamshauri vibaya, And all they want aharibu ili tumchukie.
🤣🤣🤣🤣Ndo mtajua JPM alikuwa mtetezi wenu au alikuwa anatania
Sio KUNYOOSHA tena?Tunajenga nchi...
Kodi zote hizi tunazolia nazo ziliandaliwa enzi za mwenda zake chini ya waziri mpango. Mwigulu kaja tu kuwasilisha bajeti ambayo tayari ilishaandalia na mpangoNdugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100
Naona Mzee wa Kuhamia Burundi ameamua.
Huko nako wanakuja ,hela zirudi kwenye vibubuMobile simbanking kwishney!!! M-pesa, tigo pesa et al kwishey!! Ni neema kwa mabenki! Yalikuwa yamepigwa bao sana!!! Foleni ndefu kwenye ATM zitarudi tena!