mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Hatuna namna watupeleke jela wote tuSheria hairuhusu kuweka vibubu, unazuia mzunguko wa fedha, huo ni uhujumu uchumi[emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuna namna watupeleke jela wote tuSheria hairuhusu kuweka vibubu, unazuia mzunguko wa fedha, huo ni uhujumu uchumi[emoji3][emoji3]
Mkuu, mie nipo TTCL na nimeshindwa kutuma pesa kupitia TPESA.Mobile simbanking kwishney!!! M-pesa, tigo pesa et al kwishey!! Ni neema kwa mabenki! Yalikuwa yamepigwa bao sana!!! Foleni ndefu kwenye ATM zitarudi tena!