Kutunza mwanamke ni gharama sana, anataka nguo mpya kila siku, viatu, chupi, pedi , shadow, lipstick, lipbum, perfume, deodorant, mawigi, kusuka , hapo bado kula na kunywa na starehe nyingine. That woman will leave us bankrupt.
Sitarajii wanaume tutakuja kuchagua mwanamke tena