Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Umerukwa na akili ?Sisi tunajenga nchi nyie bomoeni tuwashuglikie
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umerukwa na akili ?Sisi tunajenga nchi nyie bomoeni tuwashuglikie
USSR
Mama ule mwingi unamwagika ujue
Wewe kibaka usijidai upo kwenye system, wewe ni mpiga zumari tu,Sisi tunajenga nchi nyie bomoeni tuwashuglikie
USSR
Kumbe wewe Ni nesi. Bora wewe uko ndani. Mimi Ni mlinzi nyumbani kwa mbunge mmoja mzembe mzembe Kuna baridi Dodoma njombe kumesingiziwa.
Kale ka wimbo kenu wacha waisome namba, huwa ni katamu sana mnapokaimba kwenye vikao na mikutano yenu, mkija kwenye uhalisia huku Uswazi tunakoishi, na nyie pia mnaisoma namba kikamilifu, hamko exempted na mikodi na matozo mnayoyaasisi kila uchaoNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Basi wewe ni pepo wa mauti, maana unapendelea sana kuwahudumia wagonjwaKwani kila anayehudumia wagonjwa ni lazima awe nurse?
Waongeze tozo nyingine tu na hata hivi viwango viwe maradufu ili tufanye maamuzi sahihi 2025
Sisi tunajenga nchi nyie bomoeni tuwashuglikie
USSR
Hiyo ndiyo kazi maharamia wamejipa.Gaidi mbowe kuliwa na papasi ndio furaha ,Kodi tuatalipa tu ilimradi gaidi afungwe
USSR
Huyo kwa mitazamo yake Bila shaka no mganga wa kienyeji.Kwani kila anayehudumia wagonjwa ni lazima awe nurse?
Unawajua kitengo wewe wanatumika kwenye chaguzi hizi ndoto ota tu.2025 CCM imekwisha, waTanzania watapongezwa kwa kupata kiongozi mpya asiyetokana na CCM. Je ni sababu gani zitawafanya waTanzania kuchukua hatua hiyo:
Kinachofuata ni kuwa 2025 wananchi wote bila kujali vyama vyao au itikadi hawatakichagua chama-ruhani cha CCM kwa kuwa CCM hakina tena vinasaba / DNA ya sifa za kuwa chama cha kisiasa.
- Uchovu wa ndani ya CCM kufanya siasa kutokana na kutenda maovu, ugandamizi, kukamua wananchi kodi kupita kiasi huku viongozi wao wakijiongezea mishahara minono, magari ya kifahari ya kuwahudumia, majumba na marupurupu mengi. Mfano wa kuchoka ni gazeti la UHURU kuonesha kuchoka kutetea serikali ya CCM huku mhariri wake mkuu wa gazeti ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM MNEC. Kifupi CCM imeshindwa kufanya ushawishi kitu ambacho ndiyo msingi wa chama chochote cha siasa
- Kila mtanzania akiangalia matendo ya CCM wanaona ni kama "eneo la jinai" yaani Crime scene mfano tozo za miamala, miradi ghofu ndege za Air Tanzania , SGR reli mpya, Stiegler's gorge, kesi za kubambikia, wafungwa wa kisiasa, matumizi mabaya ya vyombo vya usalama n.k
- Makada na wanachama wa CCM waliopo serikalini wenye mamlaka yaani mawaziri, wakuu wa mikoa, RAS, maDC, DAS, DED wamekuwa watesi kwa waTanzania na siyo watumishi.
- Wananchi kutambua kuwa hawana wawakilishi wao waliowachagua kupitia uchafuzi wa uchaguzi 2020 wa wabunge, madiwani, wenyeviti wa Mitaa na Vijiji. Hivyo kifupi hawana viongozi waliowachagua wao.
Basi wewe ni pepo wa mauti, maana unapendelea sana kuwahudumia wagonjwa
Usilazimishe tufanane.... endelea kuisomaaKale ka wimbo kenu wacha waisome namba, huwa ni katamu sana mnapokaimba kwenye vikao na mikutano yenu, mkija kwenye uhalisia huku Uswazi tunakoishi, na nyie pia mnaisoma namba kikamilifu, hamko exempted na mikodi na matozo mnayoyaasisi kila uchao
Acha uchawiHuyo kwa mitazamo yake Bila shaka no mganga wa kienyeji.
Mama D mzima wewe!?Kwani kila anayehudumia wagonjwa ni lazima awe nurse?
PoleAcha uchawi
Unafikiri wewe ukishakua mganga ndio wote watakua waganga kama wewe
Mama D mzima wewe!?
Shemeji yupo?