Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kumbe we ni nesi jmn pole sana na kaziNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe we ni nesi jmn pole sana na kaziNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Asante,msalim!Mie mzima wa afya, sijui wewe na wifi!?
Shemeji yupo Mr Slim
Kuna ambao wako exempted! Huwezi kuumia kama daily unaingiza 300k ukiwa umekaa tuKale ka wimbo kenu wacha waisome namba, huwa ni katamu sana mnapokaimba kwenye vikao na mikutano yenu, mkija kwenye uhalisia huku Uswazi tunakoishi, na nyie pia mnaisoma namba kikamilifu, hamko exempted na mikodi na matozo mnayoyaasisi kila uchao
Umeassume ni nesi simply kwasababu ana id ya kikeKumbe wewe Ni nesi. Bora wewe uko ndani. Mimi Ni mlinzi nyumbani kwa mbunge mmoja mzembe mzembe Kuna baridi Dodoma njombe kumesingiziwa.
Nikukumbushe tu ccm haitegemei kura kuwepo madarakaani...zile ni geresha tu2025 CCM imekwisha, waTanzania watapongezwa kwa kupata kiongozi mpya asiyetokana na CCM. Je ni sababu gani zitawafanya waTanzania kuchukua hatua hiyo:
Kinachofuata ni kuwa 2025 wananchi wote bila kujali vyama vyao au itikadi hawatakichagua chama-ruhani cha CCM kwa kuwa CCM hakina tena vinasaba / DNA ya sifa za kuwa chama cha kisiasa.
- Uchovu wa ndani ya CCM kufanya siasa kutokana na kutenda maovu, ugandamizi, kukamua wananchi kodi kupita kiasi huku viongozi wao wakijiongezea mishahara minono, magari ya kifahari ya kuwahudumia, majumba na marupurupu mengi. Mfano wa kuchoka ni gazeti la UHURU kuonesha kuchoka kutetea serikali ya CCM huku mhariri wake mkuu wa gazeti ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM MNEC. Kifupi CCM imeshindwa kufanya ushawishi kitu ambacho ndiyo msingi wa chama chochote cha siasa
- Kila mtanzania akiangalia matendo ya CCM wanaona ni kama "eneo la jinai" yaani Crime scene mfano tozo za miamala, miradi ghofu ndege za Air Tanzania , SGR reli mpya, Stiegler's gorge, kesi za kubambikia, wafungwa wa kisiasa, matumizi mabaya ya vyombo vya usalama n.k
- Makada na wanachama wa CCM waliopo serikalini wenye mamlaka yaani mawaziri, wakuu wa mikoa, RAS, maDC, DAS, DED wamekuwa watesi kwa waTanzania na siyo watumishi.
- Wananchi kutambua kuwa hawana wawakilishi wao waliowachagua kupitia uchafuzi wa uchaguzi 2020 wa wabunge, madiwani, wenyeviti wa Mitaa na Vijiji. Hivyo kifupi hawana viongozi waliowachagua wao.
Kwani huyo mama yeye hana akiliDk. Mpango na Mwigulu acheni kumpotosha huyo mama.
Mtaumiza sana wananchi kwa style hii.
Sio ExtrovertKumbe we ni nesi jmn pole sana na kazi
Ulianza kwa kujenga hoja vizuri mwishoni ukaharibu focus. Au ulimpa mtu mwingine amalizie?Hii nchi aliyekuwa analipa kodi haswa ni mtumishi kwa kutumia paye. Imagine unalipwa mshahara wa mil 3 paye pekee ni 720k kwa mwezi zidisha kwa mwaka. Sasa ni mfanyabiashara gani wa kati analipa kodi hiyo? Kodi zitozwe na zitumike ipasavyo, sio mambo mtu anafanya ubadhirifu wa bil 100 faini mil 8 huu unakuwa utani.
Unamhudumia baba mkwe au😎Sio Extrovert
ExtrovertNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Baba mkwe anahudumiwa na mamamkwe lol😥😥😥Unamhudumia baba mkwe au😎
Sababu hatuna control na hizo tozo zinazokusanywa yani.