Tozo mpya 17, mwendelezo wa maumivu kwa Mtanzania

Tozo mpya 17, mwendelezo wa maumivu kwa Mtanzania

Sababu hatuna control na hizo tozo zinazokusanywa yani.

Bora mfuko huo ungekuwa wa wananchi wenyewe kama wanavyoita za kizalendo ili hata zikianza kutolewa hizo hela tuwe na wananchi wanajua kinatoka kiasi flani kwenda kufanya jambo flani! Hapo manung’uniko yangu yatakoma ila sio hela tuwakusanyie mafisadi wa CCM wao wadokoe wanavyojiskia!

Kwa maana ingine tozo hazina taabu ila ni muhimu wananchi tujue matumizi yake na tuweze kuona faida zake kwetu
Niko sawa Extrovert?
 
Kwa maana ingine tozo hazina taabu ila ni muhimu wananchi tujue matumizi yake na tuweze kuona faida zake kwetu
Niko sawa Extrovert?
Eeh waah hapo unakuwa sahihi kabisa. Tunataka transparency sio yale mambo ya IPTL kutumia sheria na kanuni sahihi kuratibu wizi 😅😅😅 hilo hatulitaki!

Maana obvious hizo hela zitaibiwa tu na ni nyingi sana in trillions kwa mwaka! Yani wakizimix za miamala,mafuta,za nyumba na za line ya simu ni hela ndefu mno na inaonekana haitapitishwa kwa CAG!
 
Mim nadhani uchumi ungekua unaeleweka,Watu wasingelalamika,,asa maisha magumu alafu unaongeza mikodi,inflation is high as a kite,,aliyefikiria haya ana mavi matupu kichwani 🤣🤣...
 
Hacha tuisome nb tozo zifike 27,huzuri haziangalii mgambo, police,jwtz,bodaboda wala nani safi kabisa
 
Hii nchi aliyekuwa analipa kodi haswa ni mtumishi kwa kutumia paye. Imagine unalipwa mshahara wa mil 3 paye pekee ni 720k kwa mwezi zidisha kwa mwaka. Sasa ni mfanyabiashara gani wa kati analipa kodi hiyo? Kodi zitozwe na zitumike ipasavyo, sio mambo mtu anafanya ubadhirifu wa bil 100 faini mil 8 huu unakuwa utani.
Lakini bado huyo mtumishi anaendelea kulipa hiyo PAYE na tozo kama zote....kwa nini basi Serikali isimpunguzie paye?

Mtumishi ananyonywa sana na serikali...
 
Mim nadhani uchumi ungekua unaeleweka,Watu wasingelalamika,,asa maisha magumu alafu unaongeza mikodi,inflation is high as a kite,,aliyefikiria haya ana mavi matupu kichwani [emoji1787][emoji1787]...
Halafu kwa sasa kila kitu kimepanda bei sana
 
Halafu kwa sasa kila kitu kimepanda bei sana
Yes,na kuna mtu nilimwambia hapa ,hata ukiongezewa mishahara 500,000/= ,mfumuko wa bei una-cancel out hio payrise,,ila sisi wabongo hatuna elimu hiyo bado
 
Eeh waah hapo unakuwa sahihi kabisa. Tunataka transparency sio yale mambo ya IPTL kutumia sheria na kanuni sahihi kuratibu wizi 😅😅😅 hilo hatulitaki!

Maana obvious hizo hela zitaibiwa tu na ni nyingi sana in trillions kwa mwaka! Yani wakizimix za miamala,mafuta,za nyumba na za line ya simu ni hela ndefu mno na inaonekana haitapitishwa kwa CAG!

Basi tuwe tunakuja na hoja za kutaka uwazi kuhoji matokeo
Tupunguze lawama kwenye tozo
 
Lakini bado huyo mtumishi anaendelea kulipa hiyo PAYE na tozo kama zote....kwa nini basi Serikali isimpunguzie paye?

Mtumishi ananyonywa sana na serikali...

Jambo hili jana wakati nipo na familia tulilijadiri kwa hasira kali, mtumishe awekewe kodi kwa mwaka kama mfanyabiashara tu maana wewe mtumishi unalipa kodi kwa mwaka karibia mil 8 ila inavyokatwa kwa mwezi inaonekana ndogo. Hivyo kiuhalisia mtumishi paye iwe laki au elf 50 tu kwa mwezi
 
Bila shaka kuna viongozi hawatutakii mema, ni vema Rais akaliangalia upya hili suala vinginevyo kuna wenzake wanamzunguka. Tafadhali soma gazeti la Raia Mwema Tarehe 21.08.2021
View attachment 1900919

Safi sana Mwigulu Nchemba na Rais Mama Samia Suluhu Hassan. Salute Kwenu Sisi wafanyakazi Tangu Uhuru Tunakatwa Kodi tuu na Atuna Pa Kukwepa...Mshahara Ukija Tayari ushakatwa Kodi juu jwa juu!
Afadhali mmekuwa Wabunifu MUNGU awabariki upande ambao sio wafanyakazi wanaumia Kawaida ya Msumeno ni kukata huku na Huku,Sio wengine walikuwa wanafurahia Jasho Letu,
Imagine Nakatwa kodi for 18yrs now!
Tena Direct Paye hapo bado sijanunua Bidhaa,
Acha wote tuchangie Maendeleo!
Ila kwenye Miamala Ondoeni hizo Tozo!
Imekalia sana Watu wa Chini tozo za Miamala na Khwaumiza mnooo!ni Massive destruction.
Pili Kwenye Luku Pia Nawapa Kongole 12,000kwa Mwaka Safi haina Shida kama Ninejenga Nyumba ga 35,000,000
Kulipa Buku kika Mwezi Sio Issue.
MUNGU awabariki kwa mawazo mapya haya!
Tozo miamala ondoeni.
Haya Mengine tuko Pamoja Wafanyakazi Tunaendelea Kuchangia kodi na hawa wsngine nao wachangie,
Haina Shida tutakutana kqsnye bidhaa pia tutanunua!
 
Back
Top Bottom