tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Nani anampotosha kilaza huyoDk. Mpango na Mwigulu acheni kumpotosha huyo mama.
Mtaumiza sana wananchi kwa style hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anampotosha kilaza huyoDk. Mpango na Mwigulu acheni kumpotosha huyo mama.
Mtaumiza sana wananchi kwa style hii.
Ebu kua kidogo acha utoto kakaSisi tunajenga nchi nyie bomoeni tuwashuglikie
USSR
hakuna mtu anayekataa mabadiliko au kulipa kodi, shida inakuja hayo mabadiliko yanakuja kwa kasi gani na hizo kodi ni kwa kiasi gani na kwa wakati gani, yaan wakati huu ambao madhara ya kiuchumi ya korona yamesababisha nchi zingine dunian kuwapiga jeki wananchi wao kwa kuwapa fedha sisi tunaongezewa tozo na kodi mpya wakti huohuo serikali ikikiri kuwa uchumi umeathirika na coronaNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Waoga na pia hatuna umoja katika kudai haki zetu.Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Nashangaa hadi Leo hii Kuna watu wanaishabikia CCM kwa huu wizi na kuwafanya watu wazidi kuwa masikini.Ccm imefkia mwisho hawana jipya zaidi ya kufanya uhuni tu.
Wewe hata kichwani ni funza tu hakuna kitu humo.Hizo tozo sio za Vyama zinaumiza watu wote.Gaidi mbowe kuliwa na papasi ndio furaha ,Kodi tuatalipa tu ilimradi gaidi afungwe
USSR
Sisi tunalipa Kodi kidogo Sana SEMA tumezoea kupata %100 ya patoNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
hakuna mtu anayekataa mabadiliko au kulipa kodi, shida inakuja hayo mabadiliko yanakuja kwa kasi gani na hizo kodi ni kwa kiasi gani na kwa wakati gani, yaan wakati huu ambao madhara ya kiuchumi ya korona yamesababisha nchi zingine dunian kuwapiga jeki wananchi wao kwa kuwapa fedha sisi tunaongezewa tozo na kodi mpya wakti huohuo serikali ikikiri kuwa uchumi umeathirika na corona
Watu wanalalamika hizo Kodi na tozo wa sababu ya matumizi mabaya ya serikali sio wanakataa, ambapo kwa bajeti ya mwaka huu ni 33t ambapo matumizi ya kawaida ni 20t na matumizi ya maendeleo ni 13t hiyo ni sawa na kusema 80% ya mapato ya serikali yanaenda kwenye matumizi ya kawaida na 20% ndio matumizi ya maendeleo.kwa maana hiyo hatuwezi kupata maendeleo kama hakuna udhibiti na nidhamu ya matumizi ya mapato ya serikali hata kama tutatoza Kodi na tozo mapaka kila kichwa cha nchi hii. Tanzania kwa miaka yote hii ya uhuru kwa rasilimali tulizonazo nia aibu kwa karne hii kuendelea kuzungumzia maendeleo kwenye elimu,maji,barabara na afya Sasa hivi ilitakiwa tuwe tunazungumzia sayansi na tekinaolojia
Waoga na pia hatuna umoja katika kudai haki zetu.
😃😃😃😃Sisi tunalipa Kodi kidogo Sana SEMA tumezoea kupata %100 ya pato
USSR
Kwani kila anayehudumia wagonjwa ni lazima awe nurse?
Nilijua tu lazima aliyetoa mawazo ajibiwe hvi...
Asante
Nimeipenda hiyo kodi ya pumzi.Halafu kwa CCM unaweza ukawa umewapa pahala pa kupanua wigo wa walipa kodi.Hawa wenzetu wamechoka,hawana jipya!Hivi kwanini wasirudishe kodi ya kichwa ili hata yule asiyemiliki simu au kutumia umeme nae alipe tu? Mnaweza kuiita “kodi ya pumzi” ili kuonyesha ubunifu
Vijijini wengi hawana magari. Mnaweza anzisha kodi ya kumiliki baiskeli. Likewise, anzisheni kodi ya kumiliki shamba kwa kila hectare
Kodi ya jengo ongezeni pia. Mwenye nyumba ambayo ina fence alipe zaidi. Kama ana sofa, aongezewe kodi
Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ione hii tafadhari. Hizo zote sio kodi za dhulma maana Mama hapendi
Mama D unakumbuka mabilion yalichotwa Bot alipofariki yule, nduliNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Viweke hivyo vipaumbele kwanza acha keleleMama D unakumbuka mabilion yalichotwa Bot alipofariki yule, nduli
Report ,a cag kila mwaka zinaonyesha ubadhitifu unaofikia 30% ya bajeti
Unajua kuwa fedha nyingi zimelekezwa kwenye vipaumbele ambavyo havina impact katika kuongeza uchumi kama mdege sgr,
Unajua kuwa miaka mitano ya nduli sera zake za uchumi zilidumaza na kuua biashara hivyo kupunguza makusanyo ya kodi
Mama D Ngoja niishie hapo
Ndo umuhimu wa bajeti mbadala ya waziri kivuli wa fedha, mwaka huu wako wenyewe bungeni"Upinzani umetuchelewa sana."
Sasa ndio mtajua faida ya uponzani dhidi ya wagonga meza.
Maumivu zaidi ni kwa walisaidia wizi wa kura 2020, Hadi maji utaita mma
Mama D unakumbuka mabilion yalichotwa Bot alipofariki yule, nduli
Report ,a cag kila mwaka zinaonyesha ubadhitifu unaofikia 30% ya bajeti
Unajua kuwa fedha nyingi zimelekezwa kwenye vipaumbele ambavyo havina impact katika kuongeza uchumi kama mdege sgr,
Unajua kuwa miaka mitano ya nduli sera zake za uchumi zilidumaza na kuua biashara hivyo kupunguza makusanyo ya kodi
Mama D Ngoja niishie hapo
Mama D nakupenda Sana ingawa tuna Mrego tofautiKwa maana hiyo tozo sio tatizo ila tatizo ni uwazi na matokeo kwa wananchi. Si ndio!?
Sasa kwanini hatujadili tunachotakiwa kukijadili na chenye faida?
Pamoja na kutumia lugha isiyo na staha kama kumwita hayati nduli nimekujibu tuu