mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Maswali mazuri, huenda akili imekurudia
Ya kwako ndio imerudi leo Glenn😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali mazuri, huenda akili imekurudia
Shikamoo dada[emoji28][emoji28][emoji28]Ya kwako ndio imerudi leo Glenn[emoji2][emoji2][emoji2]
Marhaba🙏Shikamoo dada[emoji28][emoji28][emoji28]
Tatizo li chama lako lkn wewe wa maana sana ujueMarhaba[emoji120]
Tatizo li chama lako lkn wewe wa maana sana ujue
Kama hakuna mbadala mbona waporaji?Mimi sina chama changu ila Tanzania hakuna chama mbadala wa chama tawala
Kama ndivyo basi Wanaoporwa wamelegea mnooKama hakuna mbadala mbona waporaji?
Mwanamke na uongozi ni vitu viwili tofauti hili liwe fundisho
Hakuna Sheikh, Papa, Askofu wala Padre mwanamke
Sijaona wamachinga wakiwekewa Tozo
Machinga pia 20 elfu ndogo pandisheni iwe laki mbili hiviNaikumbusha serikali nauli vipi mbona hampandishi? Na msisahau chumvi haijapanda bei miaka mingi sana
ukirudi nitagNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Anachofanya mwanamke katika familia sio uongozi, baba ndo kiongozi na mama ni mtekelezaji tu ndo mana mwanaume ni kichwa cha familiaPrince Kunta hii comment yako ungetuelezea kwa uzuri zaidi tukuelewe
Sababu huyohuyo mwanamke ndio mwenye jukumu kubwa la kuangalia welfare ya familia kwa ukaribu, vitendo na miongozo na ndio anayewatengeneza wanaume kwa kiasi kikubwa zaidi, na kuwafanya kuwa bora kama unavyowaona