Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2 ni sahihi kabisaNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Mama D nakupenda Sana ingawa tuna Mrego tofauti
Ni hivi mama kakuta hazina hakuna hela,
Iliyokuwa imebaki sukuma gang waliichota
Na serikali haitaki kupunguza matumizi ya hovyo, hivyo Basi suluhu ni kuwakamua akina Mama D
Dk. Mpango na Mwigulu acheni kumpotosha huyo mama.
Mtaumiza sana wananchi kwa style hii.
1. Hapana , hakuna serikali inayowachukia raia wake.Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Sababu moja waliopewa nafasi wamefika mwisho wao wa kufikiriNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Naunga mkono😬😬Naikumbusha serikali nauli vipi mbona hampandishi? Na msisahau chumvi haijapanda bei miaka mingi sana
Mbowe atatoka mkuu,pole sanaGaidi mbowe kuliwa na papasi ndio furaha ,Kodi tuatalipa tu ilimradi gaidi afungwe
USSR
Nimekuelewa mkuu🙏1. Hapana , hakuna serikali inayowachukia raia wake.
2. Watanzania wengi hawakuzoea kulipa kodi, mtu akipata pesa yake amepiga kiaina hajali watanzania wengine ambao huitaji msaada katika elimu, hospitali, huduma za jamii na huduma zingine muhimu.
3. Hizi kodi kila nchi duniani ina mfumo wake wa kodi ulo imara ila kwa Afrika sidhani.
Kuhusiana na kulipa kiasi gani hio hutegemea na kipato cha mtu na aina ya kazi/ biashara afanyayo.
Ila kumbi za starehe au night clubs, waosha magari, mabaa au pubs, kodi ni sehemu za biashara ambazo ni lazima zilipe kodi.
Watanzania tufukirie kujifunga mikanda na tulipe kodi, tujipange.
Miezi mitano ilopita nilimkumbusha BAK kuhusu kuanza kulalamika kwa wananchi na leo hii jkauli yangu inajirudia , tusilalamike kwani hatukujua linalokuja baada yaq lilotokea.
Mkuu, pole na hatakati za kuuguza I hope wagonjwa waendelea uzuri.Nimekuelewa mkuu🙏
mh. mama Samiah kazi nzuri sana unajitahidi sana tena kaza uzi badooo, mmefanya ubunifu mzuri sana. ccm tamu sana ni kama maji hata kama hutaki utayanywa, utayaogea.
Maswali mazuri, huenda akili imekurudiaNitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza
Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR
Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?
Cc BAK Deceiver SN.BARRY