Tozo mpya 17, mwendelezo wa maumivu kwa Mtanzania

Tozo mpya 17, mwendelezo wa maumivu kwa Mtanzania

Naikumbusha serikali nauli vipi mbona hampandishi? Na msisahau chumvi haijapanda bei miaka mingi sana
Na kwenye sukari, unga wa sembe/dona, maji, mafuta ya kupikia, sabuni, dawa ya meno, soda, nyama na mkaa.
Tujivunie kulipa tozo ili viongozi wetu waachane na mavieite watembelee Rolls Royce na mama anunuliwe ndege mpya ya raisi hizi bombadia na dream liner atuachie abiria tunaojazana uwanja wa ndege kama Kabul.
 
Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza

Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR

Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?

Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Nadhani hizi Tozo ni kilio kwasababu moja tuu nayo ni kuwa haziendani na vipato halisi vya watanzania.
Maisha magumu ukiongeza na haya makato tutakufa njaa huku
 
Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza

Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR

Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?

Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Waliokuwa hawalipi kodi wala tozo,na kutumia huduma za jamii,barabara,mashule,madaraja,huduma za aya,nk.Ndio wanaolalamika.Waliokuwawakilipa kodi,tozo toka zamani,hawalalamiki.
 
Nitarudi ngoja nihudumie wagonjwa kwanza

Nimerudi sasa saa 2 asubuhi USSR

Nadhani wakati tunapata haya maumivu kwa hizi kodi ni vizuri tujiulize maumivu yetu yanasababishwa na nini haswa!?
1 Kwa sababu tunaonewa na kuchukiwa sana na serikali yetu?
2 Ni sababu hatuko tayari kwa mabadiliko kwa kile tulichozoea?
3 Au sisi ndio nchi ya pekee duniani kulipa hizi kodi? Na kama kwingine zipo wanalipa kiasi gani?

Cc BAK Deceiver SN.BARRY
Kuhusu swali lako la tatu: Mimi ninaishi Marekani na mara kadhaa nimekuwa napokea miamala kupitia Venmo, Cashapp, na miundombinu mingine ya aina hiyo. Sijawahi kulipia kodi au gharama yoyote kwa miamala hiyo iwapo nitasubiri siku tatu kabla ya kuzichukua. Ukitaka kuzichukua papo kwa papo, basi kampuni inakuchaji kiasi fulani, siyo asilimia bali kuna fee fixed ya kuchukua pesa mara moja; chaji hiyo siyo kodi ya serikali.
 
Kuna ambao wako exempted! Huwezi kuumia kama daily unaingiza 300k ukiwa umekaa tu
Hao wenyewe huwa hawaimbi, hao huwa wanapigiwa tu makofi. Waimbaji ndio tunakutana nao huku, manufaa pekee wanayoyapata kwa kuwa Wana CCM ni kula wali maharagwe kipindi cha kampeni
 
Usilazimishe tufanane.... endelea kuisomaa
Mi10 tena kwa SSH 📍🔨
Tatizo lenu CCM hamna akili. Unadhani kwa hizo posho unazodanganywa nazo utaweza kuwanusuru nduguzo wanaokuzunguka wasiisome namba?
 
Uchafu wa fikra zako ndio unakufanya uwaze ushetwani tuu kila wakati.
Huna jema moyoni mwako wewe
Nyie CCM mna wema gani?
Kubambikia watu kesi

Kuua kama mlivyo muua Horace Kolimba, Kigoma Ali Malima, Mzee Manga (huyu mlimuua huku watu wakishuhudia kwenye kadamnasi), Seith Chachage etc

Uchawi na ushirikina na upumbavu. Mnatumia mabilioni ya pesa kwa ajili ya Mwenge. Mwenge ni kafara la kufanya Taifa kuwa fukara zaidi

Mbumbumbu nyie
 

IMG-20210905-WA0033.jpg
 
Hivi nachoro resosesi zote zilizopo Tanzania 🇹🇿 hazitusaidii
-Misitu
-Madini
-Ardhi (Virgin land)
-wota bodiizi (mito,maziwa na bahari)
-Wanyama pori
-Bandari
-Agrikacha (Samaki,ufugaji, cropu kativesheni)
-Human resources
-Tuarisimu
-Bizinesi
-etc

Kweli tumeviutilaizi vizuri hivi na vingine ambavyo nimesahau?
Ccm Hawana akili za ku yutilaize hizi nachuro risosi na kupanua taksi bezi
Kuna kodi kubwa Sana kwenyee eksipoteisheni ya mazao, Nasikia mipaka wameifunga
 
Tuna gesi uranium, colbalt, nickel, alafu bado ni masikini
Ongezea utalii,dhahabu,almasi,ardhi yenye rutuba,mito,bahari,maziwa,mabwawa usisahau makaa ya mawe.

Location ya nchi yetu ipo kimkakati sana. Natamani nije kuwa rais wa hii nchi hata kwa mwaka mmoja tu.
 
2025 CCM imekwisha, waTanzania watapongezwa kwa kupata kiongozi mpya asiyetokana na CCM. Je ni sababu gani zitawafanya waTanzania kuchukua hatua hiyo:
  • Uchovu wa ndani ya CCM kufanya siasa kutokana na kutenda maovu, ugandamizi, kukamua wananchi kodi kupita kiasi huku viongozi wao wakijiongezea mishahara minono, magari ya kifahari ya kuwahudumia, majumba na marupurupu mengi. Mfano wa kuchoka ni gazeti la UHURU kuonesha kuchoka kutetea serikali ya CCM huku mhariri wake mkuu wa gazeti ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM MNEC. Kifupi CCM imeshindwa kufanya ushawishi kitu ambacho ndiyo msingi wa chama chochote cha siasa
  • Kila mtanzania akiangalia matendo ya CCM wanaona ni kama "eneo la jinai" yaani Crime scene mfano tozo za miamala, miradi ghofu ndege za Air Tanzania , SGR reli mpya, Stiegler's gorge, kesi za kubambikia, wafungwa wa kisiasa, matumizi mabaya ya vyombo vya usalama n.k
  • Makada na wanachama wa CCM waliopo serikalini wenye mamlaka yaani mawaziri, wakuu wa mikoa, RAS, maDC, DAS, DED wamekuwa watesi kwa waTanzania na siyo watumishi.
  • Wananchi kutambua kuwa hawana wawakilishi wao waliowachagua kupitia uchafuzi wa uchaguzi 2020 wa wabunge, madiwani, wenyeviti wa Mitaa na Vijiji. Hivyo kifupi hawana viongozi waliowachagua wao.
Kinachofuata ni kuwa 2025 wananchi wote bila kujali vyama vyao au itikadi hawatakichagua chama-ruhani cha CCM kwa kuwa CCM hakina tena vinasaba / DNA ya sifa za kuwa chama cha kisiasa.
Ingekuwa Chadema ile ya Dr Slaa lakini hii ya gaidi hakuna kitu
 
Wekeni tozo kwenye papai na nanasi sikuizi watu tunakula matunda sana
 
Back
Top Bottom