Tetesi: Tozo Mpya Kutuma fedha kwa simu kufa, Watanzania walia

Tetesi: Tozo Mpya Kutuma fedha kwa simu kufa, Watanzania walia

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Baaada ya Serikali kusikiliza kilio cha Mbunge "Iddi zungu" [asiye na utu wala kujali wananchi] Wa Dar es Salaam kutaka wanyonge[maskini waliotengenezwa na serikali]
Ukiitizama hii kwa jicho la 3. Ni kama inaua soko la mobile Money. Na kukuza soko la Benki.

[Imagine Nataka nimtumie Bibi yangu Tshs 1,000,000 huko kule Simiyu. MADELU na genge lake wameshindwa kuwaza chanzo cha fedha, hasa kwa watu wasiolipa kodi walipe wao wanakimbilia kwenye miamala ambayo tayari inalipa kodi kubwa tu.

Nitakachokifanya ni kutumia pesa fasta. ya NMB (mfano) ambayo nitakatwa pesa isiyozidi 10k na yeye atatoa moja kwa moja kwa ATM iliyo karibu nae. Na hatokatwa hata senti. Na sio lazima awe na account benki hiyo.

Hilo soko la mobile money hujaliua hapo?

1.jpg
 
Ilo neno kutuma hela kwa wakala sijaelewa! Nikitaka kutuma mi mwenyewe kwenda kwa mkewangu Milion 1 nitakatwa and Tsh 14,900 au nikienda kwa Wakala nataka aniwekee Tsh 1,000,000 natakakiwa nimpe Tsh 14,900 kama ada ya kuniwekea pia?
 
Ilo neno kutuma hela kwa wakala sijaelewa! Nikitaka kutuma mi mwenyewe kwenda kwa mkewangu Milion 1 nitakatwa and Tsh 14,900 au nikienda kwa Wakala nataka aniwekee Tsh 1,000,000 natakakiwa nimpe Tsh 14,900 kama ada ya kuniwekea pia?
Hapana
..ukituma kwenda kwa namba ya simu kutoka simu yako ndio utakatwa

Na akitoa kutoka simu kwa Wakala naye atakatwa

Kodi kwa maendeleo ya kweli kweli ya Nchi
 
Ilo neno kutuma hela kwa wakala sijaelewa! Nikitaka kutuma mi mwenyewe kwenda kwa mkewangu Milion 1 nitakatwa and Tsh 14,900 au nikienda kwa Wakala nataka aniwekee Tsh 1,000,000 natakakiwa nimpe Tsh 14,900 kama ada ya kuniwekea pia?
utakatwa 16,000 na na yeye akipokea anakatwa tena kama hiyo, umeelewa ndugu?
 
Back
Top Bottom