Tetesi: Tozo Mpya Kutuma fedha kwa simu kufa, Watanzania walia

Tetesi: Tozo Mpya Kutuma fedha kwa simu kufa, Watanzania walia

Shida ije tuu uchumi uta offset baada ya mda kwa vile pesa inarejea kuzunguka mtaani kwa hiyo hakuna shida.
Uchumi uta off set ,baada ya mda ,so far pesa itarejea kuzunguka mtaani, hakuna shida!!

Iyo pesa ya kuzunguka mtaani itatoka wapi wakati wananchi Wanazidi kaukiwa, ?

KWA fikra tu , mtu anazaliza mpunga KWA gharama kubwa ila Mpaka kuufikisaha sokoni,gharama inaongezeka Mara dufu na kupata faida kiduchu , Sasa Iyo pesa ya kuzunguka mtaani inapatikana vipi mkuu

Toa shule kidogo, au funguka
 
Uchumi uta off set ,baada ya mda ,so far pesa itarejea kuzunguka mtaani, hakuna shida!!

Iyo pesa ya kuzunguka mtaani itatoka wapi wakati wananchi Wanazidi kaukiwa, ?

KWA fikra tu , mtu anazaliza mpunga KWA gharama kubwa ila Mpaka kuufikisaha sokoni,gharama inaongezeka Mara dufu na kupata faida kiduchu , Sasa Iyo pesa ya kuzunguka mtaani inapatikana vipi mkuu

Toa shule kidogo, au funguka
Wewe sikia fedha inachukulia na kuwa organized kwa kuboresha maeneo yenye tija na kupunguza zaidi gharama za maisha yao,pili kumbuka zinaenda kwenye kampuni za wakandarasi,zinaenda kuleta maji nk
 
ccm mbereeeee kwa mbereeeee
Mama Samia usisikilize watu wapinga maendeleo. Haipo nchi inaendelea bila wananchi wake kulipa kodi hususani indirect tax iliyo na wigo mpana. Hii ni kodi ya uhakika kwa miradi. Asiyetaka kulipa ahamie kwingine. Hakuna kubebana.
 
Turudi kuzitumia bank.

Huku kwenye simu ni balaa,vifurushi juu,huduma kifedha juu uuuuwi
 
Hawa wapuuzi wanaojipangia kodi tu kiholela holela inatakiwa na wao waanze kulipwa laki 5 au laki 6 ili wakati wanatunga sheria zao za kindezi kama hizi waone athari zake!

Sehemu pekee ya kuimpose kodi ni kwenye vitu ambavyo ni optional sio vitu vya lazima kwa kila mtu kutumia kama miamala!

Wekeni hizo sh.100 kwenye viwanja vya mipira watu wanajazana karibia elfu 60 kila mechi ikichezwa they can get alot of money from such activities!

Waweke tozo hizo kwenye vitu kama highspeed roads ambako sio lazima mtu kutumia! Wajenge autobahn waweke tozo waone kama watu hawatalipa😅

Kodi zinatakiwa ziwe fun to pay ujiskie raha tokana na convenience unayopata sio unatozwa kodi kwenye kitu ambacho hakiburudishi zaidi unaumia tu. Sijui hawa watu wanafikiria kutumia matako!

Wasajili malaya wawape maeneo maalum waanze kulipia kodi watu watalipia tu wala hawatanung’unika. Ile ni starehe mtu hawezi umia!

Waweke kodi kwenye vinywaji kama bia! Watu watazinywa tu bila kujali kodi ni sh.100!

Shida ya wenye mamlaka hawataki ku diversify kodi hizi wanataka zote warundike sehemu moja! Simu itozwe kodi kwenye vocha,internet, voice na sms, line itozwe kodi, bado serikali wabandike kodi juu tena!?

Mafuta yakiingizwa yalipe kodi, leseni ya sheli inatakiwa ilipe kodi, mjazaji mafuta alipe kodi ya reli na sasa ya uzalendo 😅😅😅
Ubunifu ni kipaji ambacho kwa bahati mbaya hawakujaaliwa kuwa nacho, wanachokifanya nikutimiza wajibu ili waendelee kukalia mamlaka waliyotunukiwa.
 
Ubunifu ni kipaji ambacho kwa bahati mbaya hawakujaaliwa kuwa nacho, wanachokifanya nikutimiza wajibu ili waendelee kukalia mamlaka waliyotunukiwa.
Majinga yanaweka kodi kwenye Utilities ni uhayawani wa hali ya juu! Yani uweke kodi kwenye bill ya simu, bill ya maji, umeme ama house rent! Huu ni upunguani na ujuha uliotukuka!
 
inamana kama kutoa milion 1 ilikuwa 8000 sahivi ni 16000 au mimi ndo sijaelewa ? pia inamana kama kutuma m1 ni 8000 sahivi ni 16000 ufafanuzi tafadhali
 
............
" Sikutegemea baada ya kulala kwa muda mfupi na kuamka mambo yamekuwa hv yaani ni vitu vya ajabu"
au nasema uongo ndg zangu.....
 
Back
Top Bottom