Kapumpuli
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 2,040
- 2,674
Tena watakuja kutuambia kuwa ohh sasa tumeamua kuwasikiliza wanyonge, tumeondoa kabisa tozo za kutuma miamala ya Pesa.Watazifuta tu hizi tozo kabla ya 2025! Hawa viumbe ni wepesi sana wa kutengeneza matatizo, na baadae kuja kuyatatua wao wenyewe kwa lengo la kujiongezea umaarufu wa kisiasa.
Acha kabisa