Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
- Thread starter
- #41
Alright big brain maana yangu inabaki ileile kuwa 1GB Kwa 1000 hutaipata tena. Wewe umeitazama mada from another angle so hukuwa na sababu ya kudhani wemgine hawana akili kubwa.Una akili ndogo sana. Vat unazolipa kwenye vocha au makato ya Tanesco kuna Rea kule na mangine wanakataje? Hawakati kama unavyodhani, vifurushi vita adjust automatically kwenda chini kuacha gape ya wewe kulipia hio tozo. So utaona kifurushi unanunua vha buku kumne umenunua 600, 400 ni mgawanyo wa makato mengine