Tozo ya Tsh. 100 hadi 200 kila siku kwenye line za simu: Mitandao ya simu isitishe uuzwaji wa Vocha

Tozo ya Tsh. 100 hadi 200 kila siku kwenye line za simu: Mitandao ya simu isitishe uuzwaji wa Vocha

Hii bajeti inahakikisha mnyonge ananyongwa kweli,

Maana wamepunguza faini za boda boda ili automatically walemavu wawe wengi.

Nafuu kwenye vilevi , maskini mpe pombe asahau shida zake.

Ila matumizi ya kawaida ni makubwa kuliko miradi ya maendeleo.

Meaning watawala wanajinufaisha huku watawaliwa wakiendelea kukandamizwa kwenye tope la ufukara.
 
H
Hii bajeti inahakikisha mnyonge ananyongwa kweli,

Maana wamepunguza faini za boda boda ili automatically walemavu wawe wengi.

Nafuu kwenye vilevi , maskini mpe pombe asahau shida zake.

Ila matumizi ya kawaida ni makubwa kuliko miradi ya maendeleo.

Meaning watawala wanajinufaisha huku watawaliwa wakiendelea kukandamizwa kwenye tope la ufukara.
Hayo matumizi ya kawaida, si ndio kama yale waliochota hazina... hahahahaaaa
 
Hii bajeti inahakikisha mnyonge ananyongwa kweli,

Maana wamepunguza faini za boda boda ili automatically walemavu wawe wengi.

Nafuu kwenye vilevi , maskini mpe pombe asahau shida zake.

Ila matumizi ya kawaida ni makubwa kuliko miradi ya maendeleo.

Meaning watawala wanajinufaisha huku watawaliwa wakiendelea kukandamizwa kwenye tope la ufukara.
Tunaomba bajeti ya mwaka wa fedha uliopita tuone matumizi na pesa ya maendelea vilitofautianaje
 
Mada ni kodi! Sijui kampuni inapataje hasara kwa simcards kupungua. Nchi hii anayepiga simu ndio hukipa gharama, ndio maana hata ukiwa huna salio bado unapigiwa. Wewe ni wa siku hizi. Zamani tulikuwa na mfumo unaoupendekeza (kuwa hewani tu - unalipa). Ikaja unaweza kubeep bila salio! Tulipo hapa ndio inatakiwa - acha kupendekeza vitu vya zamani kabla hujaanza hata kujitegemea.
ni wewe ndio unaona vya zamani, nchi zilizo endelea huo ndo mfumo wao huna vocha hata simu haziingii!
 
ni wewe ndio unaona vya zamani, nchi zilizo endelea huo ndo mfumo wao huna vocha hata simu haziingii!

Wewe ni mpumbavu! Unaweza kuwa umeenda shule, though ila bado hujatambua mazingira yako. Unawezaje kufanya ulinganifu Tanzania na Ujerumani, kwa mfano? Hivi unaweza kulikanganisha ndizi na chungwa eti kwa sababu yote ni matunda?? Nimekuuliza swali na msingi - kupungua kwa simcards kunaileteaje hasara kampuni ya simu?? Yaani mtu awe na pesa kwenye simu (ambayo ni huduma) halafu simu yake iwe imefungwa? Hujui kampuni ya simu ina huduma za bure kama kupokea pesa na hata kuangalia salio? Na unataka kusema huduma hizo pia zifungwe?
Unasema mtu asiweze kupiga toll-free emergency calls kama 911 au 999?? Huna uwezo wa kufikiria hili jambo! Liache tu, kwa sababu nimegundua hujui vitu vingi!
 
Wewe ni mpumbavu! Unaweza kuwa umeenda shule, though ila bado hujatambua mazingira yako. Unawezaje kufanya ulinganifu Tanzania na Ujerumani, kwa mfano? Hivi unaweza kulikanganisha ndizi na chungwa eti kwa sababu yote ni matunda?? Nimekuuliza swali na msingi - kupungua kwa simcards kunaileteaje hasara kampuni ya simu?? Yaani mtu awe na pesa kwenye simu (ambayo ni huduma) halafu simu yake iwe imefungwa? Hujui kampuni ya simu ina huduma za bure kama kupokea pesa na hata kuangalia salio? Na unataka kusema huduma hizo pia zifungwe?
Unasema mtu asiweze kupiga toll-free emergency calls kama 911 au 999?? Huna uwezo wa kufikiria hili jambo! Liache tu, kwa sababu nimegundua hujui vitu vingi!
yaani uanuliza kabisa kupungua kwa simu kunaileteaje hasara kampuni, huoni kama subscribers wanapopungua mapato yanapungua pia??? Acha utani bana!! Mtu anafungiwaje simu kama ina pesa?? Huduma za bure kupokea pesa kivipi (as far as i know nothing is free kama ni pesa za mtandao anayetuma anakatwa , na kutoa pia lazima ukatwe )! toll free hapa bongo we ulishawahi piga simu ikapokolewa???Ina faida gani hiyo toll free??????
 
Wanaimplement vipi?? Nisipoweka vocha wk mwezi?

Hivi hawa waheshimiwa wasio na heshima kwa wananchi kwanini wasije na kipengele cha wabunge wote kukatwa kodi kwenye mishahara ili kuchangia pato la taifa?

Kwanini wasije na sheria ya dharula, wabunge kupunguzwa mishahara kusaidia madeni makubwa ya serikali?

Hutowasikia covid-19 wala wagonga meza wakija na mawazo haya wao daily kuwazia jinsi ya kumnyonga mtanzania.

Nitatumia simu wkend tu.

Nitakuwa mzalendo nitumie S.L.P barua zangu zipitie huko.

Everyday is Saturday............................... 😎
Hata hili ni pendekezo
 
Back
Top Bottom