Alright big brain maana yangu inabaki ileile kuwa 1GB Kwa 1000 hutaipata tena. Wewe umeitazama mada from another angle so hukuwa na sababu ya kudhani wemgine hawana akili kubwa.Una akili ndogo sana. Vat unazolipa kwenye vocha au makato ya Tanesco kuna Rea kule na mangine wanakataje? Hawakati kama unavyodhani, vifurushi vita adjust automatically kwenda chini kuacha gape ya wewe kulipia hio tozo. So utaona kifurushi unanunua vha buku kumne umenunua 600, 400 ni mgawanyo wa makato mengine
Mkuu kweli hakuna serikali inayoendeshwa bila kodi. Kwa nini Hawa watu wanaojiita waheshimiwa wakati hawana heshima kule mjengoni hawalipi Kodi? Wao sio Wananchi? Wengi hudiriki kujiita wazalendo, uzalendo bila kulipa Kodi ni sawa na kuanika nguo za ndani sebuleni.Mfumo uliowekwa utazingatia viwango vya mapato ndio maana wameweka range ya sh 10-200. Kwa hiyo wenye kipato kidogo watalipa sh 10 ambayo ni sh 300 kwa mwezi.
Serikali inaendeshwa kwa kodi. Hakuna njia nyingine. Wananchi wote lazima tulipe kodi ili kuiwezesha serikali kutoa huduma mbalimbali.
Mambo ya zari boss lady hayoAisee, makusanyo yatakuwa makubwa sana, naona Ombi la Mbunge yule limekubakiwa.
Zungu ni mpumbavu sanaAisee, makusanyo yatakuwa makubwa sana, naona Ombi la Mbunge yule limekubakiwa.
Watapunguza bundle[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mitandao ya simu watajua tu namna ya kudeal na hiyo changamoto. Mbona vat unalipa unaponunua vocha lakini haiathiri ununuaji wa vifurushi?
Mfumo uliowekwa utazingatia viwango vya mapato ndio maana wameweka range ya sh 10-200. Kwa hiyo wenye kipato kidogo watalipa sh 10 ambayo ni sh 300 kwa mwezi.
Serikali inaendeshwa kwa kodi. Hakuna njia nyingine. Wananchi wote lazima tulipe kodi ili kuiwezesha serikali kutoa huduma mbalimbali.
Hata Sasa ukinunua chochote si garama jumuishi hbaki pale mfano uchanganuzi kama huu kwa malipo ya tsh 980Mitandao ya simu watajua tu namna ya kudeal na hiyo changamoto. Mbona vat unalipa unaponunua vocha lakini haiathiri ununuaji wa vifurushi?
Haiwezi kuwa hivyo, kumbuka ishu ya VAT iliwekwaje?Vina disturb namna ya kununua kifurushu umepanga kununua kifurushi cha 2000 halafu kabla hujaunga unatumiwa meseji umekatwa tsh 178 salii baki ni 1822. Hapo utaungaje kifurushi? Unalazimika kwenda tena dukani kununua vocha ya 500 ili uunge. So kifurushi cha 2000 siku hiyo unalazimika kutumia 2500
Hata waziri alikuwa anataja milioni nikawa najiuliza mbona ni hela ndogo sanaSomething is wrong here.
Kwenye sehemu (I)
Serikali itapata 1,254,406.14 milioni ambayo Ni sawa na 1,254,406,240,000 0r 1.2 trillion
Sehemu (ii)
396,306 milioni sawa na 396,306,000,000 which 396 billion
Mbona iko hivyo hata sasaivi, hiyo inayosalia ndiyo utaunga kifurushi nacho kitaitwa kifurushi cha 2000 wakati kuarisia ni sh 1822Vina disturb namna ya kununua kifurushu umepanga kununua kifurushi cha 2000 halafu kabla hujaunga unatumiwa meseji umekatwa tsh 178 salii baki ni 1822. Hapo utaungaje kifurushi? Unalazimika kwenda tena dukani kununua vocha ya 500 ili uunge. So kifurushi cha 2000 siku hiyo unalazimika kutumia 2500
Hehehee... yule mbunge Hassan Zungu anachekelea na'shampeini', maana ombi lake la kukamua' wanyonge' limejibiwa.... kaaazi kwelikweli.Aisee, makusanyo yatakuwa makubwa sana, naona Ombi la Mbunge yule limekubakiwa.
Rethink about NSSF fao la Kujitoa then come on the field ground.Wanaleta OTT Tax ya Uganda? Au?
Mshasahau tumetoka kulia na bei za mabando juzi?