Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio shida ya kutegemea Phd feki kutoa mwongozo kwa Taifa na bado anguko kubwa zaidi linakuja mark my words1.3m ni watu wengi sana kuamua kuachana na huduma na huo ni mtandao mmoja na hapo ni kwenye simu tu vipi mabenki nao hasara itakuwa kiasi gani
Hizi tozo badala ya kuleta athari chanya zitakuwa na negative impact kote zilipokuwa introduced
Hapo kwenye neno "UBUNIFU" weka neno "UPUMBAVU"Alijinasibu kama eti katika mawaziri wa fedha watakao kumbukwa kwa ubunifu yeye jina lake halitosaulika kwa ubunifu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hizoni porojo na excuses za failures zao..Kampuni ya mtandao wa simu Vodacom imetangaza kupata hasara kwenye package yao ya M-Pesa ya Billion 103.8 sawa na 9.8% wapoteza kwnye Tozo ambapo walitakiwa wakusanye billion 956.
Watu 1.3M waliacha kutumia mtandao wao wa M-Pesa
Hahahahahaha hao ni Vodacom tu (mtandao ambao umepiga hatua sana katika huduma za kifedha) wanalalamika , hao mbulula wengine nao watajitokeza tu.Hizoni porojo na excuses za failures zao..
Mbona hatusikii Tigo na wengine wakitangaza hizo hasara za tozo?
Likampuni hilo lilifirisika toka mwaka juzi lilipoanza kuibia watu bando,dakika kuisha haraka na kupandisha Bei za vifurushi wateja wakalikimbia nikiwemo mimi hapa..
Kwa hiyo management inatumia excuses ya tozo kuwa please shareholders kwa sababu za failures zao.
Kibaba cha Asali???...
Alisikika taahira mmoja akiwa kashika kibaba cha asali
Kibaba cha Asali???
Hawa wamekimbia? Mbona nimetoka kuwatumia muda huu?Wasije kimbia kama bolt na uber, policy zetu zisikimbize wawekezaji