Tozo zatinga kwenye mabenki, kuanza kukusanywa Septemba 8, 2021


Bye bye sim banking
Tutajaza fomu na kuingiza hela kwenye akaunti ya mtu. Kwaheri simbanking. Tutakutumia kucheki balance tu. Nayo wakiitoza tozo hatutacheki.
 
Kuna watu mlitutambishia sana mawakala na hivyo vi account vyenu vya Benki
 
Huyu Raisi kunawatu wanampotosha ili iwe rahisi kumwondosha kitini.kuna utabiri humu JF Huenda ukatimia.
 
Ndiyo faida ya kuwa nchi yenye wananchi mafala. Viongozi wanatumbua na wananchi wanakamuliwa! Tutakiona cha mtema kuni kama hatutakuwa wakali.
Me nakubali kabisa sie ni mafala kabisa mkuu,tena ni wajinga.I wish ningekuwa natokea South Africa
 
Utawala umewajia kwa ndondokela ndo maana hawajitambui. Nakumbuka ktk mahojiano mahala jk aliwahi kusema yy alitamani tu kuwa raisi hata kama hakuna la maana ambalo angelifanya, the same kwa huyu wa kuupiga mwingu.. Wote ni watu ambao ingekuwa west Africa nchi ishabinuliwa hii ila kwa hapa bongo bado sana.
 
Kuanzia sasa sifanyi muamala kwa njia ya simu labda iwe very emergency kwa sasa ni mwendo wa ATM with my handgun on action mode kwa ajili ya usalama
 
Pole, lakini umejitia kwenye gharama zisizo za lazima, iltakiwa utume direct kutoka benk kwenda kwenye Mpesa (kwa mlengwa mwenyewe)
 
Tumekimbilia banki na huko Mwigulu kesha haribu. Huyu mtu clueless kabisa kuendesha modern economy.Arudi kijijini kufuga ngombe.
Sema yy ni.muwasilishaji tu ila waamuzi ni wakubwa kwake hivyo ni.jambo la kuilamu serikali kupitia yeye waliye mpa dhamana hiyo
 
Pole, lakini umejitia kwenye gharama zisizo za lazima, iltakiwa utume direct kutoka benk kwenda kwenye Mpesa (kwa mlengwa mwenyewe)
Nimeshajaribu miamala ya namna hiyo haikamiliki utaishia kurudishiwa pesa zako tu tena baada ya masaa 24 na CRDB na transaction cost umelipia. Yaani kutoa smibanking kwenda kwenda kwenye namba tofauti na ile uliyosajilia simbanking.
 
Nimeshajaribu miamala ya namna hiyo haikamiliki utaishia kurudishiwa pesa zako tu tena baada ya masaa 24 na CRDB na transaction cost umelipia. Yaani kutoa smibanking kwenda kwenda kwenye namba tofauti na ile uliyosajilia simbanking

Duh pole .Tangu kuanza kwa tozo za miamala , mi nimekuwa nikituma pesa moja kwa moja kwa muhusika kutoka CRDB kwenda Kwenye Mpesa, Tigopesa, nakadhalika , bila kufeli kwa muamala wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…