Tozo zimechukua nafasi ya upinzani

Tozo zimechukua nafasi ya upinzani

Na hizo tozo wanazotukamua ,wanaishia kujilipa na kukwapua bila huruma, akili zimekwamia kwenye kuwakamua wananchi na si kuwasaidia wenye mawazo mapya kuanzisha vyanzo vipya, wale wabunge wanaopitisha kila muswada bila kujadili kwa sababu wao hawaguswi, hawatufai hata kidogo hakuna la maana wanalofanya zaidi ya kusaini posho tu
Hivi kumpa mtu shilingi laki mbili na nusu Kama extraduty inaingia akilini kweli wakati pensheni kiduchu za wastaafu ni mishahara midogo ya wafanyakazi wa ngazi za chini inakatwa tozo bila huruma?
 
Mushi amekula kiti moto, akashushia na mbege Sasa ndio anajamba ushuzi huu.

Sikubaliani na huh ujinga wa tozo na wala siungi mkono uhuni wa kuwapora pesa wafanyabiashara na matajiri kama alivyokuwa akifanya shetani Magufuli.
Wewe unakubaliana na Nini?
Tuambie!
 
Back
Top Bottom