Tozo zinaweza kugeuka na kuwa wizi wa dola dhidi ya Wananchi

Tozo zinaweza kugeuka na kuwa wizi wa dola dhidi ya Wananchi

Wanayafahamu yoote uliyoyaandika ila kwa kuwa wanaamini serikali ina nguvu kuliko nguvu ya umma ndio maana hawana uoga waaendelea kujilimbikizia mali tu....

Imagine tungereact to extent wasingesitisha, haki nakuapia siku ikitokea reaction tukachoma moto nyumba ya waziri au kurushia mawe gari la mwigulu siku ya pili linatoka tamko.

Hii nchi ishazoea kelele kelele
 
Ni wizi tu, Kodi tunalipa na bado tunakatwa
 
Wanayafahamu yoote uliyoyaandika ila kwa kuwa wanaamini serikali ina nguvu kuliko nguvu ya umma ndio maana hawana uoga waaendelea kujilimbikizia mali tu....

Imagine tungereact to extent wasingesitisha, haki nakuapia siku ikitokea reaction tukachoma moto nyumba ya waziri au kurushia mawe gari la mwigulu siku ya pili linatoka tamko.

Hii nchi ishazoea kelele kelele
Ila mimi nashangaa hata hilo la kurusha mawe tu linatushinda?
Wanayafahamu yoote uliyoyaandika ila kwa kuwa wanaamini serikali ina nguvu kuliko nguvu ya umma ndio maana hawana uoga waaendelea kujilimbikizia mali tu....

Imagine tungereact to extent wasingesitisha, haki nakuapia siku ikitokea reaction tukachoma moto nyumba ya waziri au kurushia mawe gari la mwigulu siku ya pili linatoka tamko.

Hii nchi ishazoea kelele kelele
 
Ndio maana Mduda anasema nchi inaongozwa na Nyapara,na ni kweli kabisa kwani yeye anawaza kuwakamua tu wananchi wake bila kujali wanaingiza nini
 
Lazima tulipe ili maendeleo yapatikane, wenzetu walio endelea na tunaopenda kuwatolea mifano kwa namna walivyo endelea nao pia walianzia huku na walipitia huku na bado wanaendelea kulipa Kodi,Sasa wewe unataka Nani akuletee maendeleo, unataka Nani abebe mzigo wetu watanzania, wajibu wetu unataka tumtwishe Nani, unataka kila siku tukakope kwa kila kitu, lazima tuanze kujifunza kujitegemea na kutembea kwa miguu yetu wenyewe
 
Je ni Wakati sahihi hivi sasa wa mawaziri kuwa Vijana ? Wa early 80s mana Hawa wazee wanatukwamisha?
 
Mtapiga makelele wewe ila come 2025 mtakapokuta kila Kijiji kina maji,kina barabara,kina Zahanati na vituo vya afya ,kina umeme nk mtajua kwamba kumbe mlikuwa wajinga.
Hii ni hadithi ya kufikirika na kusadikika.

Hizi Kodi tunazotozwa ni kwa ajili ya kuwa neemesha wachache.
 
Mtapiga makelele wewe ila come 2025 mtakapokuta kila Kijiji kina maji,kina barabara,kina Zahanati na vituo vya afya ,kina umeme nk mtajua kwamba kumbe mlikuwa wajinga.
Wewe likely ni mpumbavu kwa sbb hutumii akili yako vyema kufikiri na kuchakata matukio tokana na mienendo ya nchi hii chini ya CCM...

Yaani hawa CCM walioshindwa kufanya hivyo kwa miaka 60 tangu 1961 halafu wawezeje kwa miaka 2 kufikia 2025..!!??

Yaani hata kama huna akili ya kufikiri na kuzielewa sera na mipango ya hawa jamaa (i.e CCM) kwamba si functional tena, basi wewe utabaki kuwa huna akili tu...!!

Hebu jaribu kufikiri hili..

Waziri mwenye dhamana ya mambo ya kodi, anasikia malalamiko ya watu tokana na ingizo la sheria sheria yake ya tozo....

Badala ya kutetea kwa hoja ili awashawishi watu, yeye kwa ujeuri na ulevi wa madaraka tu anasema, "...asiyetaka kulipa tozo hizi ahamie Burundi...!!"

Nakuhakikishia jambo moja kuwa, hii kauli ya Mwigulu Nchemba, haitamwacha salama na kama si yeye basi itaathiri kizazi cha wanawe na wajukuu zake na vitukuu unless aitubu dhambi hii sasa kabla hajafa...!

Yaani kwa kauli yake hii, unaweza kutambua mara moja kuwa nia ya tozo hizi wala si hii unayojaribu kuitetea wewe kwa sababu ishu za barabara au maji au zahanati nk kila kijiji inapaswa iwe imefanyika 30yrs ago...

After all, hauwezi kuwauza watu wako kwa nia ya kupata kodi eti kwa sababu tunataka kujenga barabara au zahanati kila kijiji...

Haiendi hivyo. And for sure, mwisho wa mfumo huu chini ya watu hawa umefika. Haya yanafanyika for their own destruction...

Tumewaonya. Hawasikii. We are happy because, their downfall is before their face...!!
 
Back
Top Bottom