Tozo zinaweza kugeuka na kuwa wizi wa dola dhidi ya Wananchi

Wengi unaobishana nao hapa walikuwa mataga wenye nyodo na kebehi kama za kwako. Musiba alifikia kusema hadi tuanzishe World Bank ya Africa.
You're disgrace to our country.
Serikali huwa haibembelezi watu kulipa Kodi.
 
Eee bhana hebu mcheki Kibatala iwapo tunaweza kufungua jalada la kesi kwa mambo haya
 
Kodi au tozo haziwahi kuwa wizi ndio maana nilikuuliza kama ni wizi hizi pesa zinaenda kutumika wapi? Hukujibu..pesa inatumika kuboresha huduma mbalimbali kama hizi [emoji116]

Kwa hiyo mkuu unataka kusema hata kesho serikali iseme mishahara ikatwe nusu kwa watumishi wote itabidi watumishi wafurahie tu kwa vile zinaenda kutumika huko?

Nadhani uelewe mantiki ya mtoa mada, hakuna anayekataa kulipa kodi wala tozo.

Kinachojadiriwa ni uhalali wa hizo makato. Mapato hayo hayo hayawezi pitia kodi na tozo.

Itabidi ifikie hatua sasa kila mtumishi ama yeyote yule apate malipo mkononi, ili liwe jukumu lake sasa la kuweka benki ama kwenye simu.

Hizi vitu zinaweza leta bank crisis ambayo itapelekea hata financial crisis.

Fikiria tu 40% wapunguze kutumia bank hali itakuwaje.

Mtu mwenye 1m bank ataona heri aitoe yote akaitunze nyumbani tu. Ni kwa kiasi gani bank zinaenda kukosa hela za kukopesha.
 
Lipa tozo ya uzalendo
Ile ya vitambulisho vya wanachonga iliitwa hivyo hivyo "kodi ya uzalendo" kumbe ulikuwa wizi mtupu...

Mzalendo wenye kodi/tozo hizi kata na "kodi ya uzalendo" wake...

Ghafla kajitokeza Mwigulu Nchemba na msamiati huohuo wa ki - Magufuli kwa kumzunguka huyu mwanamke dhaifu asiye na lolote lakini anajiita eti "Rais" wa nchi....!!

Nakuambia hivi, akifa Mwigulu leo na huyu mama yenu, atakuwa ameondoka na wizi wake huu...!!
 
Sina hakika kama huyu The Sunk Cost Fallacy anaweza kukuelewa...

Yuko hapa kutetea ujinga na siyo mantiki...!

Na watu wa dizaini ya The Sunk Cost Fallacy hutetea hata wafunuliwe kweli yote machoni pao, wanaweza kuyakana hata majina yao...!!
 
Suala la tozo si la nchi bali ninla Tanganyika isiyo na uongozi wala msemaji wa kuwatetea watanganyika. Ukiona mambo yamezidi nenda Zanzibar, huko mambo ni shwari kabisa.
 
Ule ulikuwa wizi ila tozo ina sheria na miongozo na iko specific kwa inachoenda kufanya.
 
Sina hakika kama huyu The Sunk Cost Fallacy anaweza kukuelewa...

Yuko hapa kutetea ujinga na siyo mantiki...!

Na watu wa dizaini ya The Sunk Cost Fallacy hutetea hata wafunuliwe kweli yote machoni pao, wanaweza kuyakana hata majina yao...!!
Uamzi wowote unaofanywa na Serikali sikivu ya awamu ya 6 unakuwa umefanyiwa tathmini ya athari zake vs faida..

Hakuna mtu anaweza kukata salary ya mfanyakazi kwa hivyo mnavyosema nyie,acheni kujitungia mambo ambayo hayana realistic Ili kutetea uzembe.
 
Ili nchi iendelee inahitaji.
Watu
Siasa safi
Utawala Bora.
Sisi hatuna watu hivyo tumekosa vyote.
 
Wezi wanatuibia mchana kweupe , tusikubali.
 
tatizo ni kuwa na viongozi walemavu wa fikra,walianza na tozo za simu wakaona haitoshi,wakaja na tozo za luku,wakaona haitoshi sasa wamekuja na tozo za miamala ya kibenki ,tunapoelekea bidha moja inaweza kutozwa kodi mara nyingi,kunamsemo usemao usipotawanya huwezi kukusanya,huu ndio mzizi wa fitina wa uchumi wetu,watawla hawaja tawanya ,hawawekezi kwa wanachi ila wanataka kuchukua kodi inatoka wapi?,sasa inawalizimu wahamie kwenye vyanzo vya uporaji wa kidola ili kujinusuru na aibu ya kuangusha uchumi.,hizi sio tozo bali ni uporaji.viongozi wanapaswa kuwa wachumi na sio makada kama wengi wao walivyo,sekta nyeti wanapewa makada,wasomi feki wa kukariri,mtu anabay hajato jasho kwenye biashara yake binafsi hawezi kuwa mchumi mzuri
 
Watanzania tutaendelea kulipa tozo na pia tunaishauri Serikali kuangalia kama kuna njia nyingine ya kuchangia maendeleo yetu basi tupo tayari kabisaa.
Chini ya Rais wetu Mama Samia tunaona matumizi ya fedha zetu, tunaona miundombinu inajengwa, maji safi, afya n.k.
 
Hata wawekezaji watakimbia sasa....
Kampuni yenye wafanyakazi 100 inapoteza zaidi kila inapomlipa mfanyakazi mshahara sababu ya tozo ya kutuma mshahara,
 
Kila mtu ni chadema au sio wewe kenge
 
Mpuuzi tu wewe,kwa hio wanaolalamika kuhusu tozo ni chadema na sukuma gang tu?Nicampoomp
Mbaolalamika ni joblesa wa mitandaoni huko kitaa watu wako busy na biashara zao na wamejaa banks kama kawaida isipokuwa nyie konokono WA humu mitandaoni sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…