Bukali
JF-Expert Member
- May 7, 2018
- 1,264
- 835
Peleka timu yako basiHii Tp Mazembe imeshuka mno kiwango, ndo maana hata Gongowazi walikuwa na kila sababu ya kushinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Peleka timu yako basiHii Tp Mazembe imeshuka mno kiwango, ndo maana hata Gongowazi walikuwa na kila sababu ya kushinda
Mazembe + Bamako = Pipa na MfunikoTP Mazembe imeendelea kufanya vibaya katika Kombe la Shirikisho Afrika, ikiwa nyumbani imefungwa magoli 2-0 dhidi ya US Monastir ya Tunisia
Mechi inayofuata ya Kundi D ni Real Bamako ya Mali dhidi ya Yanga
View attachment 2530752
Pamoja na yote atafuzu Monastir na MazembeTP Mazembe imeendelea kufanya vibaya katika Kombe la Shirikisho Afrika, ikiwa nyumbani imefungwa magoli 2-0 dhidi ya US Monastir ya Tunisia
Mechi inayofuata ya Kundi D ni Real Bamako ya Mali dhidi ya Yanga
View attachment 2530752
Unaota wewe??Naona Yanga anaweza kushinda mechi zake 4 zilizobaki na kuongoza kundi ..
Hamna Timu ya kuisumbua Yanga hapo kwa Sasa, Huyo Mwarabu atakuja Dar na ni lazima tumkamue mkojo[emoji23]
Kwa kuwa wewe ulikamuliwa mara 3 na wale Waarabu..?Unaota wewe??
Acha uongo uli amemaliza mkataba hayuko tena TPKwa TP Mazembe ni kushuka kiwango na wala siyo kuimarika kwa vilabu vingine. Fikiria timu bado ina Thomas Ulimwengu ambae hata hapa kwetu hawezi pata namba Mbeya city lakini wao ni bonge la mchezaji
Yanga watapita.Yanga wakikaza wanapita hili group
mimi si mganga ila wewe n shabiki wa mbumbumbu maana huna unalo lijuaKwa TP Mazembe ni kushuka kiwango na wala siyo kuimarika kwa vilabu vingine. Fikiria timu bado ina Thomas Ulimwengu ambae hata hapa kwetu hawezi pata namba Mbeya city lakini wao ni bonge la mchezaji
Hamjawahi kuwa na akili nyie kolos Toka mzaliweMimi nilipoona amefungwa na yanga nikajua moja kwa moja kuwa hamna timu hapo, kumbe nilikuwa sahihi..
Kwa sasa mazembe ni timu ya kawaida sana kuanzia ubora wa mchezaji mmoja mmoja.Mazembe ya sasa ni mbovu, au timu zingine nazo zimeimarika? Mbona mnaangali upande wa ubovu na kuacha kuangalia upande wa wapinzani wao kuwa ni bora. Msimu ulipita hawa Tp Mazembe walicheza nusu fainali ya michuano hiyo hiyo.
Na kashashindaYanga akishinda Leo basi,, kazi kashaimaliza
Na njaa au?Na kashashinda