muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
kwenye Simba day ilikuwajeYanga walishangilia sana ila mazembe ya sasa ni mbovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye Simba day ilikuwajeYanga walishangilia sana ila mazembe ya sasa ni mbovu
Kombe la watoto liliwatoa kamasi mpaka mkachoma uwanja wa watu moto, mbumbumbu akili zenu ziko matakoni sana, unaenda kuroga mpaka ugenini kwa watu mna akili kweli nyie? Na kupigwa mkapigwa na uchawi wenuUto walipiga bomu mochwari wakajisifu. Anyway ni kombe la watoto , kombe la wakubwa lilichezwa juzi na jana acha watoto wafurahie Maisha kwa kuwafunga watoto wenzao
Ulimwengu yuko Tp maxembe ya nyumbani kwenu labdaKwa TP Mazembe ni kushuka kiwango na wala siyo kuimarika kwa vilabu vingine. Fikiria timu bado ina Thomas Ulimwengu ambae hata hapa kwetu hawezi pata namba Mbeya city lakini wao ni bonge la mchezaji
Kombe la watoto hilo hilo wewe ulishindwa mpaka ukatumia uchawi wa kuwasha moto,, au ni kwavile nyie mbumbumbu...Uto walipiga bomu mochwari wakajisifu. Anyway ni kombe la watoto , kombe la wakubwa lilichezwa juzi na jana acha watoto wafurahie Maisha kwa kuwafunga watoto wenzao
Wachezaji walioitoa Mazembe ndio hao hao waliopo sasa hivi. Akina Bobosi na Manzoki hawakuhusikaSoma ulichokiandika kwanza, timu zikiumarika maanake hata ubora na viwango vyao lazima iongezeke. Viper ilyomtoa TP Mazembe iikuwa ni timu iliyoimarika kumbuka wameuza wachezaji wangapi hao Vipers? Na Simba ilichukua hadi kocha wao.
Hakili za kenge hizi...Yanga walishangilia sana ila mazembe ya sasa ni mbovu