muelezwe tena?ngoja tu nikueleze hadi sasa simba imeshaingiza bilioni 1.3 za CAF na bonus za kutoshz za sportspesa, maboya maskini wa TASAF mnataka muelezwe ya MO?m pesa zenu zenyewe mnadanganywa wajinga nyie, mnachanga vi buku vyenu mnaambiwa mmepata milioni 22 kwa mwezi? eti mcongoman anawaambia mnajivunia umaskini wenu..salaleeeeeee,MEN LIE,WOMEN LIE NUMBERS DO NOT LIE...okwi milioni 14,kagere 12,niyonzima 8 kwa mwezi..wangekuwa yanga si mngekuwa mnapiga ukunga kila siku na kuwaambia hakuna mshahara kama vipi ukitaka ondoka?punguani wahedi kweli nyie jamaa yaanimnaishi kizamaani na kimaskini mno
View attachment 1064781View attachment 1064786