TP Mazembe ilikuwaga ile ya Samatta tu

TP Mazembe ilikuwaga ile ya Samatta tu

Tahadhari..mechi ya Vita ni tofauti na ya jana..TP walikuja kuzuia tofauti na Vita walikuja kusaka ushindi..kwao watafunguka na hawatajaza viuongo wengi kati..wamevunja rekodi ya kumpiga mtu nane kwenye group stage..Mputu utamuona Lubumbashi jana mlikuwa mnamfanyia faulo nyingi..kule mtakula umeme

Lile goli alilokosa Boko linaingilia Lubumbashi,mchezaji mzuri ni mzuri tu hachagui nyumbani au ugenini,hao mazembe hata huko kwao wanaweza kutolewa,msiwaunderate Simba,kama wangekuwa wazuri sana kama mnavyowasifia hata jana wangepata ushindi
 
muelezwe tena?ngoja tu nikueleze hadi sasa simba imeshaingiza bilioni 1.3 za CAF na bonus za kutoshz za sportspesa, maboya maskini wa TASAF mnataka muelezwe ya MO?m pesa zenu zenyewe mnadanganywa wajinga nyie, mnachanga vi buku vyenu mnaambiwa mmepata milioni 22 kwa mwezi? eti mcongoman anawaambia mnajivunia umaskini wenu..salaleeeeeee,MEN LIE,WOMEN LIE NUMBERS DO NOT LIE...okwi milioni 14,kagere 12,niyonzima 8 kwa mwezi..wangekuwa yanga si mngekuwa mnapiga ukunga kila siku na kuwaambia hakuna mshahara kama vipi ukitaka ondoka?punguani wahedi kweli nyie jamaa yaanimnaishi kizamaani na kimaskini mno
View attachment 1064781View attachment 1064786
wewe lazima ni bwabwa.
 
Lile goli alilokosa Boko linaingilia Lubumbashi,mchezaji mzuri ni mzuri tu hachagui nyumbani au ugenini,hao mazembe hata huko kwao wanaweza kutolewa,msiwaunderate Simba,kama wangekuwa wazuri sana kama mnavyowasifia hata jana wangepata ushindi
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom