TP Mazembe tupo pamoja na nyinyi kwa hali na mali hapo kesho


Kumbe Simba inao mashabiki wenye akili timamu...natengua kauli fulani tata niliwahi kuitoa zamani. Michezo ni ushindani na kejeli zinafutwa kwa mabao
 

Sasa mbona unajisumbua?

Haya basi tuambie, Tanzania fani yake nini ukiondoa hii mijungu uliyobandika hapa kwa kuwa ni Yanga?
 
Sawa Mkuu nimekusikia nakutakia kifo chema cha stroke.
 
Mimi kwa kweli hata njilazimishe vp siwezi kuishabikia yanga...najikuta tu nashindwa kwakweli tusameheane tu kwa hili.
 
Nishanunua jezi yangu ya TP Mazembe!
Hii tabia ya usaliti ni lazima ikomeshwe hata kwa lazima maana 'punda haendi ila kwa nyenzo'. Hii mechi ni yetu (Yanga), wale wanaotaka kuishangilia Yanga, ruksa waende uwanjani tena wataingia bure, wale wasiotaka kuishangilia wabaki majumbani waangalie kwenye runinga zao, wazomee huko huko na wake zao na watoto wao na siyo kujipendekeza kwenda uwanjani.

Jezi pekee ya kesho ni kijani na njano full stop. Haiwezekani tukiwa ugenini kuna watu wanatuzomea halafu tukiwa nyumbani kuna watu pia wanatuzomea, hawa ni lazima tuwape haki yao. Overall ushindi wa Yanga kesho ni wa Watanzania wote na siyo Wakongo. Hakuna atakayeingia uwanjani bila ya kuwa na jezi rasmi (kijano na/au njano), usidanganyike!
 
Tulia sasa mtani povu la nini? mimi nitalipa hata hela lakini nitavaa jezi ya Tp Mazembe
 
Tulia sasa mtani povu la nini? mimi nitalipa hata hela lakini nitavaa jezi ya Tp Mazembe
Mkuu hakuna povu hapa. Kesho kuingia ni bure lakini ni sharti uwe na jezi ya njano na/au kijani, kama hutaki baki home! Kutakuwa na 'makerubi' yakizuia wote wasio na vazi rasmi kuingia uwanjani. Si unakumbuka hata kwenye ile harusi watu wasiokuwa na vazi walitolewa nje!πŸ˜€πŸ˜›πŸ˜‰
 
Mkuu hili chezo halitaki hasira........''Kapigwa kapigwa tena'' haiepukiki kesho
 

Ushauri mbovu wa karne...
 
sasa kesho mimi nitavunja rekodi, nitakuwa mtanzania pekee mwenye jezi ya Mazembe ndani ya uwanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…