TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

Kwanini aseme anapata hasara kama mafanikioyake ni kiinunua timu
Kwake it mens Simba ni white elephant project ( high running cost Than it's return)

Alishainunua ...ila inampelekea moto wa loss
 
Msimu mmoja una mechi ngapi?
 
Hao kuna jambo la siri hatulijui ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Wamekuja wanataka tufanye nao biashara,kwani wanaona yanga ni mahali salama,tutavuta vifaa kadhaa kutoka kwao ili nao wazidi kujiimarisha,sasa kolo nyie zubaeni tu huku milia wivu๐Ÿคช
 
Matusi hayo,Hamna hata nusu kikombe cha Africa wao wanacho,hamna hata uwanja wao wanao kisha waje kujifunza kwa mbumbumbu?
 
Matusi hayo,Hamna hata nusu kikombe cha Africa wao wanacho,hamna hata uwanja wao wanao kisha waje kujifunza kwa mbumbumbu?
Kuna timu hii dunia inalipia mabango ya matangazo ya matokeo? Usishangae kuwaona hata madrid hapa.
 
Pia za chinichini nasika meneja wa man u na chelsea wako njiani kuja kupata ushauri yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ