TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

TANZANIA KUNA WAJINGA WENGI SANA .SASA MAZEMBE ATAJIFUNZA NINI KWA YANGA.??? AU KUJIFUNZA KUHONGA MAREFA.??? MANA YANGA KAZIDIWA KILA KITU NA MAZEMBE
Ndio hivyo wamekuja [emoji23][emoji23]
 
Mazembe wamekuja kwa ajili ya usajili tu hakuna la maana zaidi ya hapo,utopolo ni kikundi cha wahuni waliojiorganize tu
Tunafuraha kubwa kufika hapa, ni heshima kubwa kwetu na tumefurahi kwa mapokezi mazuri mliyotupatia, tumekuja hapa kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Yanga na kutengeneza urafiki mzuri utakaoweza kuvisaidia vilabu vyetu hivi viwili bora Afrika Mashariki na kati hivi sasa

" Frederic Kitengie, CEO TP Mazembe
 
Tp mazembe ni wanyenyekevu, Wame wahi kubeba kombe la Africa lakini wameona ni vema kuja kujifunza kwa Yanga . Na sisi Simba SC sio vibaya kujifunza mambo mazuri kutoka kwa Yanga . Kwa current form ya sasa ya Yanga SC , kiukweli wanaonyesha wanaujua mpira . Halafu nilivyo mchunguza Rais wa Yanga SC , nimegundua ana nyota ya Simba .
Yaaah ni kweli mkuu
 
Yanga nao watumie muda huu kujofunza toka kwa Mazembe
Tunafuraha kubwa kufika hapa, ni heshima kubwa kwetu na tumefurahi kwa mapokezi mazuri mliyotupatia, tumekuja hapa kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Yanga na kutengeneza urafiki mzuri utakaoweza kuvisaidia vilabu vyetu hivi viwili bora Afrika Mashariki na kati hivi sasa

" Frederic Kitengie, CEO TP Mazembe
 
Yanga na GSM walilimeza Desa la La liga na la Saville...achilia mbali somo la Senzo , sasa nao wameanza kufundisha wengine....

Ila safi sana , Simba wawe wabishi hivi hivi
Kabisa mkuu...acha makolo waendelee na Michezo ya kupasua Nazi njia panda
 
Je, ni management ndiyo siri pekee ya mafanikio ya timu?
Je, ukiondoa pesa ya GSM kwenye equation ya yanga, yanga itabaki kuwa yanga hii hii?
Kwa maana nyingine bila GSM na pesa ya gsm yanga ni kama tabora united tu.
Kolo nyamaza tu, ni kama Simba bila mwenye timu mwenyewe MO Dewji, unafikiri pale inabaki nini zaidi ya matangazo ya Mo Extra? 🤣🤣🤣
 
Hiki ni kichekesho, yani wafundishwe namna ya kutembeza mlungula na kuvunja kihuni mikataba ya wachezaji?
Kama na viongozi wenu wanaamini hiki ulichoandika kuna uwezekano mkubwa Yanga ataendelea kuwa bingwa miaka mingi mbele. Yanga imekuwa team bora sana kwa sasa katika Uganda wetu
 
Kama na viongozi wenu wanaamini hiki ulichoandika kuna uwezekano mkubwa Yanga ataendelea kuwa bingwa miaka mingi mbele. Yanga imekuwa team bora sana kwa sasa katika Uganda wetu
Ndo walewale [emoji23][emoji23]
 
Je, ni management ndiyo siri pekee ya mafanikio ya timu?
Je, ukiondoa pesa ya GSM kwenye equation ya yanga, yanga itabaki kuwa yanga hii hii?
Kwa maana nyingine bila GSM na pesa ya gsm yanga ni kama tabora united tu.
Kama hizo pesa za GSM hazitumiki vizuri kwa kuhakiksha wanapatikana wachezaji wazuri na huduma nzuri basi hata utoe matilioni team haiwezi fanikiwa uwanjani. Kuna jambo la kujifunza hapa toka kwa Yanga
 
Hatua ipi mliyofika ambayo simba hajafika?
Kwa mtazmo wenu huu Mo hawezi weka zile 20B zake ziliwe na michwa. Ndio maana kaenda kuziwekeza kwenye bonds BOT for 20yrs anawapa dividends ya kila mwaka ya 3B+ kama sehemu ya uwekezaji huku twenty 20B ikibaki inapumua. Halafu anapata space ya matangazo kwenye jezi.
 
Kwa mtazmo wenu huu Mo hawezi weka zile 20B zake ziliwe na michwa. Ndio maana kaenda kuziwekeza kwenye bonds BOT for 20yrs anawapa dividends ya kila mwaka ya 3B+ kama sehemu ya uwekezaji huku twenty 20B ikibaki inapumua. Halafu anapata space ya matangazo kwenye jezi.
Mo mpigaji tu kama GSM.mmetulia sababu timu yenu imepona ugonjwa ila ukianza kujirudia tutajua mengi
 
Mo mpigaji tu kama GSM.mmetulia sababu timu yenu imepona ugonjwa ila ukianza kujirudia tutajua mengi
Tunajua hakuna tajiri ngozi nyeupe mjinga akaweka pesa sehemu kusipokuwa na positive return ya pesa aliyowekeza. Ila kuna utofauti kati ya Mo na Gsm. Mmoja ni mmiliki according to maneno yake na ni investors kutokana na shares nyingi alizonazo ingawa mpaka sasa pesa za uwekezaji anaziweka kwa duskodusko wakati mwingine ni mdhamini wa team na ananufaika pia na Yanga.
 
Tunajua hakuna tajiri ngozi nyeupe mjinga akaweka pesa sehemu kusipokuwa na positive return ya pesa aliyowekeza. Ila kuna utofauti kati ya Mo na Gsm. Mmoja ni mmiliki according to maneno yake na ni investors kutokana na shares nyingi alizonazo ingawa mpaka sasa pesa za uwekezaji anaziweka kwa duskodusko wakati mwingine ni mdhamini wa team na ananufaika pia na Yanga.
Mo hakuna anachomiliki pale ni mpigaji tu.kwemye dili la jezi ya 40,0000.utopolo anachukua 1,300.sio upigaji huo?ndo maaana nakwambia utopolo kumetulia sababu kumepona ugonjwa ila ukianza up ya tutajua mengi.
 
Tunajua hakuna tajiri ngozi nyeupe mjinga akaweka pesa sehemu kusipokuwa na positive return ya pesa aliyowekeza. Ila kuna utofauti kati ya Mo na Gsm. Mmoja ni mmiliki according to maneno yake na ni investors kutokana na shares nyingi alizonazo ingawa mpaka sasa pesa za uwekezaji anaziweka kwa duskodusko wakati mwingine ni mdhamini wa team na ananufaika pia na Yanga.
GSM ni nani pale utopoloni?mwekezaji,mfadhili,au anasaidia?qna mkatsba na utopo?
 
Back
Top Bottom