Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akipatikana mtu makini wa kujibu hoja YAKO BASI Ni tag😊Hahaha!!
Timu yenye champion league Africa inajifunza nn? Kwa mwenye zero?
KAZI ni kipimo cha UTU
Do you even understand what the fck is going on here?Hahaha!!
Timu yenye champion league Africa inajifunza nn? Kwa mwenye zero?
KAZI ni kipimo cha UTU
Mazembe club kubwa.ina makombe ya ya afrika 5.haiwezi kuja kujifunza kwa utopolo. Labda waje kujifunza jinsi ya kupata majiniBila shaka una wazungumzia makolo
Endeleeni kucheka mkija kushituka tunatangaza ubingwa wa 37Hiki ni kichekesho, yani wafundishwe namna ya kutembeza mlungula na kuvunja kihuni mikataba ya wachezaji?
Pesa bila mipango ni kazi bure waulize Azam FCJe, ni management ndiyo siri pekee ya mafanikio ya timu?
Je, ukiondoa pesa ya GSM kwenye equation ya yanga, yanga itabaki kuwa yanga hii hii?
Kwa maana nyingine bila GSM na pesa ya gsm yanga ni kama tabora united tu.
Unasema hawawezi wakati wameweza kweli ID yako ina maanaMazembe club kubwa.ina makombe ya ya afrika 5.haiwezi kuja kujifunza kwa utopolo. Labda waje kujifunza jinsi ya kupata majini
We aya tu😂Hao ni Tp mazembe WA buguruni malapa au
Mazembe kafika nusu fainal.wewe mwaka robo utamfundisha nnWe aya tu😂
Lete takwimu za mafanikio ya Makolokolo SC tangu wawe chini ya Mo kwa investment ya miaka mitatu ya awali ulinganishe na timu ya Wananchi ili uepukane na sonona [emoji28]Haya ni mafanikio ya kipumbafu, kwani utopolo wametumia mda gani kufikia huto tufanikio ulitotuorodhesha hapo?
Wajifunze kwa lipi?hao mazembe wana Lao lingine.waambieni wakwambieni.sio kujifunza.mtoto mdogo kama utopolo uje kumfundisha jayant wa Africa?Unasema hawawezi wakati wameweza kweli ID yako ina maana