TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

TP Mazembe iliwagharimu muda gani kufikia maendeleo hayo ikiwa kama kampuni?

2021 GSM investment : 2023 Success = CAFCCL Final & 2024 CAFCL Quarter Final with consecutive NBC PL trophies 3 times, FA Cup 2021/2022 & 2022/2023 and continuing to chase FA Cup 2023/2024.

Big investment with a lot success in the short time period.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Sahihi kabisa
 
“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo mbalimbali kwenye Mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji" Simon Patrick, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga SC.

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko

Je Kuna ukweli kuwa Yanga ndio workshop ya soka hapa Afrika???
They have come to share experience
 
“Tunafuraha kubwa kufika hapa, ni heshima kubwa kwetu na tumefurahi kwa mapokezi mazuri mliyotupatia, tumekuja hapa kujifunza mambo mbalimbali kuhusu Yanga na kutengeneza urafiki mzuri utakaoweza kuvisaidia vilabu vyetu hivi viwili bora Afrika Mashariki na kati hivi sasa" Frederic Kitengie, CEO TP Mazembe.

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwikoView attachment 2990124
Hata wale wengine wanatamani sana kufundishwa Team Management lakini hawataki kusema...waache wafe nalo
 
Wengine tulishasema ni kiasi cha muda tu Yanga kufika katika kilele cha soka Afrika na kila mmoja ataliimba jina letu.
Hahahahaha...Iko hivi kwa Timu kama Tp Mazembe ambayo kiasili ilikua ni timu ya kanisa...pale Lubumbashi haina wanachama wengi kutokana na maisha ya kongo..ila ina mashabiki na wapenzi wengi na hata hivyo kwa idadi ya mashabiki wanazidiwq na mahasimu wao FC Lupopo ..Kwa hesabu za Katumbi kajifunza kupitia yanga ,pamoja ya kuwa na makombe mengi ila hana nguvu kivile ktk mashabiki na wanachama walio sajiliwq ..

Katika sula la wanachama na mashabiki kujisajiri Yanga itawafundisha wengi
 
TP Mazembe iliwagharimu muda gani kufikia maendeleo hayo ikiwa kama kampuni?

2021 GSM investment : 2023 Success = CAFCCL Final & 2024 CAFCL Quarter Final with consecutive NBC PL trophies 3 times, FA Cup 2021/2022 & 2022/2023 and continuing to chase FA Cup 2023/2024.

Big investment with a lot success in the short time period.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Haya ni mafanikio ya kipumbafu, kwani utopolo wametumia mda gani kufikia huto tufanikio ulitotuorodhesha hapo?
 
TP Mazembe iliwagharimu muda gani kufikia maendeleo hayo ikiwa kama kampuni?

2021 GSM investment : 2023 Success = CAFCCL Final & 2024 CAFCL Quarter Final with consecutive NBC PL trophies 3 times, FA Cup 2021/2022 & 2022/2023 and continuing to chase FA Cup 2023/2024.

Big investment with a lot success in the short time period.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mazembe haina database kubwa ya wanachama waliosajiliwa ndio kilicho waleta kujifunza hilo ukiacha hayo mengine...pamoja na ukubwa wao Mazembe anazidiwq mashabiki pale lubumbashi na Fc lupopo ..

Mazembe ilikua timu ya kanisa ,baadae wakajitenga wakanunuliwa na Moise ..haina wanachama kivile ingawa ina mashabiki..sasa wanataka kutoka huko


Katika sula la wanachama Yanga inafanya vzr ,watanzania acheni ubishi wenu wa kijinga jinga
 
Hahahahaha...Iko hivi kwa Timu kama Tp Mazembe ambayo kiasili ilikua ni timu ya kanisa...pale Lubumbashi haina wanachama wengi kutokana na maisha ya kongo..ila ina mashabiki na wapenzi wengi na hata hivyo kwa idadi ya mashabiki wanazidiwq na mahasimu wao FC Lupopo ..Kwa hesabu za Katumbi kajifunza kupitia yanga ,pamoja ya kuwa na makombe mengi ila hana nguvu kivile ktk mashabiki na wanachama walio sajiliwq ..

Katika sula la wanachama na mashabiki kujisajiri Yanga itawafundisha wengi
Naskia pia Yanga wanatawi kule Kongo


Pia Kuna kipindi clip ilitrend ....wakongo wanaomba msaada Kwa eng hersi
 
Back
Top Bottom