TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

TP Mazembe waomba kufundishwa football management na Yanga

“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo mbalimbali kwenye Mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji" Simon Patrick, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga SC.

#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko

Je Kuna ukweli kuwa Yanga ndio workshop ya soka hapa Afrika???
Kubadilishana uzoefu
 
Je, ni management ndiyo siri pekee ya mafanikio ya timu?
Je, ukiondoa pesa ya GSM kwenye equation ya yanga, yanga itabaki kuwa yanga hii hii?
Kwa maana nyingine bila GSM na pesa ya gsm yanga ni kama tabora united tu.
 
Mgema akisifiwa tembo hutilia maji.
Ngoma ikilia sana mwishowe lele.

Eneweiz mwanzo mzuri viongozi wasibweteke sasa na hizi sifa za kuimbwa, na kuanza siasa na kuirudisha timu matopeni kwenye vibakuli tena.

#Daima Mbele Nyuma Mwiko.
 
Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi......

Simba management yao mbovu .....lkn hawataki kuomba kufundishwa na Yanga

Tp mazembe kutoka mbali .....ndio wameiona hii dhahabi adimu kuja kufundishwa na Yanga [emoji23][emoji23]
sumbai njoo usome maneno kuntu kutoka kwa labani
 
Je, ni management ndiyo siri pekee ya mafanikio ya timu?
Je, ukiondoa pesa ya GSM kwenye equation ya yanga, yanga itabaki kuwa yanga hii hii?
Kwa maana nyingine bila GSM na pesa ya gsm yanga ni kama tabora united tu.
YANGA Ina watu
 
Mgema akisifiwa tembo hutilia maji.
Ngoma ikilia sana mwishowe lele.

Eneweiz mwanzo mzuri viongozi wasibweteke sasa na hizi sifa za kuimbwa, na kuanza siasa na kuirudisha timu matopeni kwenye vibakuli tena.

#Daima Mbele Nyuma Mwiko.
[emoji23][emoji23]
 
Kweli penye miti mingi hakuna wajenzi......

Simba management yao mbovu .....lkn hawataki kuomba kufundishwa na Yanga

Tp mazembe kutoka mbali .....ndio wameiona hii dhahabi adimu kuja kufundishwa na Yanga [emoji23][emoji23]
Hahahahaha..si huwa munasema Nabii hakubaaliki nyumbani?
 
Back
Top Bottom