brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
TP Mazembe imesajili mshambuliaji wa Mbeya City kwa dau la milioni 50 kwenda Mbeya city. Ambokile amesajiliwa kuchukua nafasi ya Ibrahim Ajib aliyegoma
Ambokile aliefunga goli 10 mzunguko wa Kwanza wa ligi kuu Tanzania ambapo mzunguko wa pili alienda kwa mkopo Black Leopard ya South Africa ambapo hakucheza kutokana na kukosa kibali kwa wakati.
Ambokile amesaini mkataba wa miaka 3 na nusu, ataanza kuitumikia Mazembe kwenye michuano ya Cecafa Huku Simba na Yanga zikijitoa
Ambokile aliefunga goli 10 mzunguko wa Kwanza wa ligi kuu Tanzania ambapo mzunguko wa pili alienda kwa mkopo Black Leopard ya South Africa ambapo hakucheza kutokana na kukosa kibali kwa wakati.
Ambokile amesaini mkataba wa miaka 3 na nusu, ataanza kuitumikia Mazembe kwenye michuano ya Cecafa Huku Simba na Yanga zikijitoa