ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,424
- 4,954
Pesa hazijaibwa Ila inaonekana Aliyepita alitumia pesa za psssf za mifuko kununua ndege, sgr na stiglers, halaf akafuta fao la kujitoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina mama D!Yohane Mbatizaji nakuona unaendelea kutoa ubatizo wa toba
Bwashee siunajua kuwa mwendazake alikandamiza demokrasia, uhuru wa kutoa maoni na haki za binadamu? Au umesahau bwashee?Sasa mbona hawajafichua hayo mautopolo hadi mama mwenyewe kayafichua?
Unajua pesa za PSSSF ni za nani?Pesa hazijaibwa Ila inaonekana Aliyepita alitumia pesa za psssf za mifuko kununua ndege, sgr na stiglers, halaf akafuta fao la kujitoa
Baada ya kuporwa ushindi aliona aepushe mbawa yake ila Mungu kaondoka na mporaji.Unataka Chadema wateuwe wakurugenzi wa hizo taasisi? Au unataka wapambane kivipi na ufisadi wakati rais wao yuko ubelgiji?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mbona Dr Slaa aliweza kumbana mwendazake Mkapa?Bwashee siunajua kuwa mwendazake alikandamiza demokrasia, uhuru wa kutoa maoni na haki za binadamu? Au umesahau bwashee?
Huoni hata jana mama amesema kuna mambo alikuwa anapambania ila yakamshinda bwashee. Maana yake inawezekana aliyaona hayo na hakuoendezwa ila mwendazake ndio alikua top manyota hataki kusikia la mtu bwashee.
Kwani bwashee na ulivyo kwenye system hapo LB7 hujui kuwa maza aliwahi kutaka kujiuzulu wazee wakamuomba amuepushie mwendazake hicho kikombe bwashee.
Ndio maana nakuuliza bwashee dishi limeyumba?
Za watanzania, Ila zilitumika ndivyo sivyo. Mi pia mtumishi na muaka wangu wa 10 kazini so hata zangu zitakuwa zimetumikaUnajua pesa za PSSSF ni za nani?
Umelalia wapi? hayo mashirika yanaongozwa na Chadema?Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ni Mali ya wachangiaji(Watumishi).Unajua pesa za PSSSF ni za nani?
Ana akili zake wala siyo takataka,sema wewe ni kihiyo😂😂wenye uelewa wameelewa nini anamaanisha.Huyu mtoa uzi ni takataka hajui anachoandika
Upuuzi. Kwani CHADEMA wamewahi kutawala nchi hii? Wao ni wapiga kelele tu kama raia wengine. Mifuko ya hifadhi ya jamii imefilisiwa na serikali.Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!
Mbona IQ yako ndogo ivyo mkuu?Ametumia tafsida apo,sivyo ulivyoelewa wewe😀Umelalia wapi? hayo mashirika yanaongozwa na Chadema?
Mkuu ebu Soma Tena vizur huoni jamaa katumia mtego kufikisha ujumbe!?Tumia Akili Chadema wanaserikali? Kazi ya Vyama vya Upinzani ni Kuibua Machafu ya Serikali lakini kwa Serikali ya Hayati kila kitu kilikuwa sawa kwani TANZANIA ni TAJIRI sana
me nimekuelewa sana,ndo maana walitaka kumuua Lisu mzalendo wa kweli dah ccm bhanaChadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!
Usiogope mama atatufanyia maarifa!Kwahiyo pesa yetu tunaokatwa na PSSSF ndo basi
Si mliwafunga midomo na aheria mkatunga?Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.
Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.
Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.
Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?
Ukinizingua Nitakuzingua!