TPA madudu matupu, PSSSF imefilisika, NSSF haina fedha, TASAC ubadhirifu mtupu sasa hawa CHADEMA wanapigana na Ufisadi gani?

TPA madudu matupu, PSSSF imefilisika, NSSF haina fedha, TASAC ubadhirifu mtupu sasa hawa CHADEMA wanapigana na Ufisadi gani?

Si Wabunge wa Chadema walikuwa Bungeni Bwashee au ndiyo dishi limeyumba? Yule dhalimu na dhulumat kwa kushirikiana na mgonjwa ndugai ba tulia kika siku walikuwa busy kuwafukuza bungeni, kuwafunga na kuwabambikia kesi fake ili tuwe wasiwemo mjengoni. Acha kuonyesha ujuha hadharani Bwashee kama huna la maana la kuandika piga kimya.
Kwani wakati Dr Slaa anafichua ufisadi alikuwa madarakani?
 
Si Wabunge wa Chadema walikuwa Bungeni Bwashee au ndiyo dishi limeyumba? Yule dhalimu na dhulumat kwa kushirikiana na mgonjwa ndugai ba tulia kika siku walikuwa busy kuwafukuza bungeni, kuwafunga na kuwabambikia kesi fake ili tuwe wasiwemo mjengoni. Acha kuonyesha ujuha hadharani Bwashee kama huna la maana la kuandika piga kimya.
Hahahaaaa....... Niko fiti kabisa bwashee napata kuku choma hapa Ufipa st jirani na hii HQ yenu!
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Kweli MATAGA dishi limeyumba baada ya kifo cha "mungu" wao!
 

Meza dawa zako uachane na kuandika upumbavu Bwashee hata yaliyowakuta Wabunge wa Chadema bungeni kuanzia 2015 dishi limeyumba halikumbuki kitu 😂😂😂😂😂😂😂
Hahahaaaa....... Niko fiti kabisa bwashee napata kuku choma hapa Ufipa st jirani na hii HQ yenu!
 
Si Wabunge wa Chadema walikuwa Bungeni Bwashee au ndiyo dishi limeyumba? Yule dhalimu na dhulumat kwa kushirikiana na mgonjwa ndugai ba tulia kika siku walikuwa busy kuwafukuza bungeni, kuwafunga na kuwabambikia kesi fake ili tuwe wasiwemo mjengoni. Acha kuonyesha ujuha hadharani Bwashee kama huna la maana la kuandika piga kimya.
Mkuu, MATAGA dishi limeyumba sana tangu "mungu" wao alivyokufa!
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
We si majuzi tu ulikuwa unamsifia marehemu babako leo unamgeuka hata arobaini yake bado? Laah
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
YOHANA MBATIZAJI NIMEKUELEWA, NARUDIA TENA NIMEKUELEWA,
MWENDAZAKE HASEMWI KWA MABAYA
 
Usiongee ka huna matako, hizo data na Intel hao chadema watapataje ilhali nyie ndio mnawapoteza wakileta hizo mada, stupid kabisa MATAGA
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Mkuu nimekuelewa vizuri kwamba umeamua kukichana chama Chako ccm, na uongonzi uliopita kinyume , we ni noma Sana, ila mwendazake alipigana kufa na kupona na ufisadi, Sasa yanatoka wapi tena ,??
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Unaona sasa!!!
Kwani chadema walipewa nafasi ya kuongoza nchi hadi uwalaumu kwa ufisadi bandarini?
 
Chadema wamekuwa wakijinasibu kwamba wao ni wapambanaji wa ufisadi na rushwa na hawatakaa kimya hadi rushwa itokomezwe.

Sasa jana nilishangaa kila DG mteule wa taasisi aliyesimamishwa na Rais Samia aliambiwa akamalize vitendo vya rushwa na wizi katika taasisi aliyoteuliwa kuiongoza.

Yaani kote TPA, TRA, TASAC, NSSF, PSSSF, Tamisemi BoT Hazina ni vurugu tupu watu wanakwiba tu.

Ndio najiuliza hawa Chadema waliodai wao ni wazalendo na wanapambana na ufisadi kweli kweli, KULIKONI?

Ukinizingua Nitakuzingua!
Sarcasm.
 
Back
Top Bottom