TPA: Tumechagua DPW kwa kuwa mizigo mingi inatoka Mashariki ya Kati

TPA: Tumechagua DPW kwa kuwa mizigo mingi inatoka Mashariki ya Kati

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Katika Club House inayoendelea, Mkurugenzi wa TPA, Prostus Mbosa amesema wameichagua DP-World kwa kuwa mizigo mingi ambayo Tanzania inapokea inatokea Mashariki ya kati ambapo DPW alionekana ni msihirika bora ukilinganisha na Maersk na wengineo

Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo

Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa

Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji
 
Katika Club House inayoendelea, Mkurugenzi wa TPA, Prostus Mbosa amesema wameichagua DP-World kwa kuwa mizigo mingi ambayo Tanzania inapokea inatokea Mashariki ya kati ambapo DPW alionekana ni msihirika bora ukilinganisha na Maersk na wengineo

Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo

Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa

Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji
Kamwambie hivi bandari sio mali ya mkurugenzi ni zetu tunasema bandari haziuzwi mkurengezi ajiizulu hata mimi naweza kuwa mkurugenzi.
 
Katika Club House inayoendelea, Mkurugenzi wa TPA, Prostus Mbosa amesema wameichagua DP-World kwa kuwa mizigo mingi ambayo Tanzania inapokea inatokea Mashariki ya kati ambapo DPW alionekana ni msihirika bora ukilinganisha na Maersk na wengineo

Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo

Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa

Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji
Anaropoka maneno ya hovyo kama haya ni kwa sabsbu kawaona na anajua wazi kwamba Watanzania ni wajinga wa kutupwa.
 
A correct ans, mizigo mingi tunapokea nchi ambazo kampuni hii imeotesha mizizi, nongwa ipo wapi?
 
Katika Club House inayoendelea, Mkurugenzi wa TPA, Prostus Mbosa amesema wameichagua DP-World kwa kuwa mizigo mingi ambayo Tanzania inapokea inatokea Mashariki ya kati ambapo DPW alionekana ni msihirika bora ukilinganisha na Maersk na wengineo

Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo

Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa

Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji


Peeling back the DP World's mask.
 
..................
goed-alright.gif
 
  • Huu ni utetezi mpya unaotolewa, ila hakuna hata mmoja anayejibu hoja za wananchi, hoja za msingi.
  • Ikiwa kama hali ni hii, hakukuwa haja wazee wetu kudai uhuru. Naam! TANU - baba wa CCM - hakuwa na haja ya kudai uhuru ili hali mtoto wake 'anawapa walionyang'anywa' watumie kadiri watakavyo. CCM inapaswa kujitafakari.
  • Mnaosoma ilani ya chama 2020, hasa kuwawezesha wawekezaji wa ndani, mna maoni gani kwa sasa?
 
Katika Club House inayoendelea, Mkurugenzi wa TPA, Prostus Mbosa amesema wameichagua DP-World kwa kuwa mizigo mingi ambayo Tanzania inapokea inatokea Mashariki ya kati ambapo DPW alionekana ni msihirika bora ukilinganisha na Maersk na wengineo

Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo

Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa

Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji
Tumeambiwa TPA na DPW hawajasaini mkataba, anaongelea kitu gani Huyu?
 
Katika Club House inayoendelea, Mkurugenzi wa TPA, Prostus Mbosa amesema wameichagua DP-World kwa kuwa mizigo mingi ambayo Tanzania inapokea inatokea Mashariki ya kati ambapo DPW alionekana ni msihirika bora ukilinganisha na Maersk na wengineo

Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo

Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa

Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji
Tuletee spastics
 
Back
Top Bottom