Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Katika Club House inayoendelea, Mkurugenzi wa TPA, Prostus Mbosa amesema wameichagua DP-World kwa kuwa mizigo mingi ambayo Tanzania inapokea inatokea Mashariki ya kati ambapo DPW alionekana ni msihirika bora ukilinganisha na Maersk na wengineo
Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo
Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa
Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji
Amesema kwa sasa bandari katika high season huwa inapokea meli hadi 20 ambapo inapozidi kutumia muda mwingi bandarini inaongeza gharama kwa mtumiaji wa mwisho, kwa kuwa gharama za meli kuwepo bandarini hulipwa na mwenye mzigo
Kwa sababu hiyo wamelazimika kuboresha huduma, amesema mkataba huo unajikita kwenye kushirikiana katika uendelezaji wa masuala ya badnari na sio kwa miaka mia kama inavyosemwa
Aidha amesema mkataba huu ni msingi wa mikataba mingine, sio mkataba wa uendeshaji